Watanzania Tuungane, Tumuunge Mkono Rais Wetu

Hivi fisiemu aliyechafuka hivi kwa damu ya watanzania tunaanzia wapi kumuunga mkono?
cb60f3d0ca1cf1f03ec8489e8bf0954e.jpg
 
Kapolepole kamejizeekea kabla ya muda wake masikini!!!!! timbwili lote hili msemaji wa chama ziiiiiiiii.

Likabudi nalo eti kina mkapa wamefanya kazi kubwa!!!!

Naweza kufa kabla yake lakini akitangulia yeye nitalicharaza kaburi lake hamsa wa ishirini.
Najua kwa ulinzi wanaopeana akiwa mzima hagusiki. (sipendi masela wa mkuranga waikopi aidia yangu)
Mkuu ni kweli wamefanya kazi kubwa unadhani mikataba ya ovyo kwa hati za dharula ni kazi ndogo?
 
Hivi fisiemu aliyechafuka hivi kwa damu ya watanzania tunaanzia wapi kumuunga mkono?
cb60f3d0ca1cf1f03ec8489e8bf0954e.jpg
Tunalazimishwa kuunga mkono tutake tusitake na kuna mengine tunatakiwa kuyavuka katika vita hii bila kuyagusa. Ni vita ya kukata matawi tukiacha mashina na mizizi ili vichipuke huko mbele!!
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama kweli ni nia ya dhati ama yangali mazingaombwe. Kimsingi nampongeza Mh. Rais wetu kwa uthubutu ila mashaka yangu ni mafisi waliomzunguka ambao wanatafuta kila fursa wapige dili. sitoshangaa katika nia njema yake wakapiga dili humohumo!!
 
Wananchi,
Salaam za upendo ziwafikie popote mlipo. Aidha baada ya salaam, nawasilisha mada tajwa hapo juu.
Sintoandika sana kwani, mengi sana yameshaandikwa kwenye nyuzi nyingi sana kuhusiana na suala zima la rasilimali zetu sanasana makinikia(maboso?! ).

Sasa watanzania wenzangu, tunakubaliana kwamba kitendo alichokifanya rais wetu ni kwa ajili ya manufaa yetu. Tumuunge mkono rais kwa vitendo, tuweke siasa na vyama pembeni. Wote kwa pamoja tupaze sauti kupitia maandamano nchi nzima hao mabepari watulipe chetu. Tuache unaa na ujuaji mwingi wa kuandika tuu mitaondi..

Raisi anahitaji msaada wetu kwani hii vita sio rahisi jamani. Pia tumtie moyo huyu kwa hili jema na kubwa alilofanya. Kwa kufanya hivo, tutawapa ujasiri mkuu hata viongozi wanaokuja wa kufanya maamuzi magumu kijasiri zaidi.

Namalizia kwa kusema, hatua aliyofikia raisi wetu pamoja na kamati zote na serikali kwa ujumla ni kubwa ila sio kamilifu kama watanzania tumekaa kimya. Nawahimiza tupige kelele tulipwe na dunia ijue kwamba tupo bega bega na raisi kwa maslahi yetu. Nna hakika mataifa mengine wanatushangaa sana wallahi!

Natoa wito kwa wabunge, madiwani na serikali za mikoa yote tanzania ku-organize maandamano nchi nzima ili ku-support hii move.

Utaifa mbele!
Good morning TZ...
 
!
!
Kuna wezi na thieves. Wezi ni wabongo wenzetu ambao watashughulikiwa na vyombo vya dola na thieves ni wazungu, wanaume ambao wao watajadiliana tu halafu fresh. Kama utaifa ni Huu mie siutaki, nautaka umtaa
 
!
!
Kuna wezi na thieves. Wezi ni wabongo wenzetu ambao watashughulikiwa na vyombo vya dola na thieves ni wazungu, wanaume ambao wao watajadiliana tu halafu fresh. Kama utaifa ni Huu mie siutaki, nautaka umtaa
Huu ndio unaa niliousema. Haya basi, kama ni "umtaa" na upo tanzania, hautufai wewe... Hama nchi. Eboh!
 
Kelele zote zinazoendelea kuhusu mikataba ya madini na Rasilimali zote tulizonazo hazitakuwa na maana yoyote kama hazitawagusa viongozi wakuu wa serikali wa awamu ya 3&4,haiwezekani tujifanye tunapigania uchumi wetu huku tukila viapo vya kuwalinda wale waliotufikisha hapa tulipo.
 
Huu ndio unaa niliousema. Haya basi, kama ni "umtaa" na upo tanzania, hautufai wewe... Hama nchi. Eboh!


!
!
Unaa ni kuwa na double standards kama zinazoendelea. Mwizi ni mwizi tu awe mzungu, mwanaume au awe mdanganyika. Wanatakiwa washughulikiwe sawa sawa. Sasaaa ningeunga mkono kama yule wa Jana angenyang'anywa passport yake na Mwyigulu asisafiri hadi kibali maalum
 
Tuwe wazalendo na tujali vya nyumbani...kama hao wezi wakizungu ni wanaume basi kinachengge ni mijigume!
 
Sasa watanzania wenzangu, tunakubaliana kwamba kitendo alichokifanya rais wetu ni kwa ajili ya manufaa yetu. Tumuunge mkono rais kwa vitendo, tuweke siasa na vyama pembeni. Wote kwa pamoja tupaze sauti kupitia maandamano nchi nzima hao mabepari watulipe chetu. Tuache unaa na ujuaji mwingi wa kuandika tuu mitaondi..

Raisi anahitaji msaada wetu kwani hii vita sio rahisi jamani. Pia tumtie moyo huyu kwa hili jema na kubwa alilofanya. Kwa kufanya hivo, tutawapa ujasiri mkuu hata viongozi wanaokuja wa kufanya maamuzi magumu kijasiri zaidi.

Utaifa mbele!
Good morning TZ...
Naunga mkono hoja.

P.
 
Wananchi,
Salaam za upendo ziwafikie popote mlipo. Aidha baada ya salaam, nawasilisha mada tajwa hapo juu.
Sintoandika sana kwani, mengi sana yameshaandikwa kwenye nyuzi nyingi sana kuhusiana na suala zima la rasilimali zetu sanasana makinikia(maboso?! ).

Sasa watanzania wenzangu, tunakubaliana kwamba kitendo alichokifanya rais wetu ni kwa ajili ya manufaa yetu. Tumuunge mkono rais kwa vitendo, tuweke siasa na vyama pembeni. Wote kwa pamoja tupaze sauti kupitia maandamano nchi nzima hao mabepari watulipe chetu. Tuache unaa na ujuaji mwingi wa kuandika tuu mitaondi..

Raisi anahitaji msaada wetu kwani hii vita sio rahisi jamani. Pia tumtie moyo huyu kwa hili jema na kubwa alilofanya. Kwa kufanya hivo, tutawapa ujasiri mkuu hata viongozi wanaokuja wa kufanya maamuzi magumu kijasiri zaidi.

Namalizia kwa kusema, hatua aliyofikia raisi wetu pamoja na kamati zote na serikali kwa ujumla ni kubwa ila sio kamilifu kama watanzania tumekaa kimya. Nawahimiza tupige kelele tulipwe na dunia ijue kwamba tupo bega bega na raisi kwa maslahi yetu. Nna hakika mataifa mengine wanatushangaa sana wallahi!

Natoa wito kwa wabunge, madiwani na serikali za mikoa yote tanzania ku-organize maandamano nchi nzima ili ku-support hii move.

Utaifa mbele!
Good morning TZ...
Ni sheria ipi inayonitaka nimuunge mkono?
 
Tatizo sio kumuunga mkono hata miguu tunaweza kumuunga, ila so far ameshaharibu sana toka nyuma, na wananchi hawana imani nae tena, huo uchungu na wananchi ni uchungu upi huo? kama waliweza kula michango ya Kagera na Arusha, tutaamini vipi na swala la mchanga anatafuta pa kupiga cha kwake kama Mkapa & Kikwete walivyopata vya kwao.
 
Apparently serikali haijafikia matarajio mengi ambayo ilijinadi.
Kuwaunga kwangu mkono ni kukaa kimya maana kila uzi unaoletwa wa kuonyesha kua rais anafanya vyema unakua umejaa matundu.

Mara ya mwisho jana tukadanganywa Tanzania italipwa.

Ok nitakaa kimya, ila 'told you so' moment ikija nitaitumia.
 
Ni rahisi sana kumuunga mkono rais aanze yeye kutusikia tunachosema.
Bashite out (akisema msinipangie mgogoro unaanzia hapo)

Tupewe kopi ya mkataba, huwezi kusema tunaibiwa halafu mkataba mnaujua wewe na mwizi.

Kamwambieni.
 
Back
Top Bottom