Umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu, hivyo tunahitaji umoja zaidi kipindi hiki na serikali ijitathmini kwa kina tuone kama tutaweza kusonga mbele.
tukilegea na kugawanyika basi huo ndio mwisho wetu.
chonde chonde bila kujali chama tuungane haraka na tusichekana , Maana kuchekana ni kuicheka nchi yako.
Agenda zote za E.U na U.S.A zinajibika kwa mazungumzo.
tukilegea na kugawanyika basi huo ndio mwisho wetu.
chonde chonde bila kujali chama tuungane haraka na tusichekana , Maana kuchekana ni kuicheka nchi yako.
Agenda zote za E.U na U.S.A zinajibika kwa mazungumzo.