kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 523
- 916
Sisi watanzania sijui nani alituloga. Watanzania tuna mibichwa mizito hadi kero. Mtanzania hawezi akaambiwa kitu mara moja akaelewa. Na hata ukirudia mara tano ataitikia alafu baadae atauliza swali ambalo ulishamuelezea. Yani tupo kama mikondoo sijui tupoje. Hata tunaowaita wasomi nao ndo ivyo ivyo vichwa vigumu mpka mtu unapata hasira.
Sijui tuna matatizo gani. Wazazi wapeni lishe bora watoto zenu wakiwa wadogo wasije kuwa mzigo ukubwani.
Sijui tuna matatizo gani. Wazazi wapeni lishe bora watoto zenu wakiwa wadogo wasije kuwa mzigo ukubwani.