Watanzania tumuombee sana Lissu

Watanzania tumuombee sana Lissu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,187
Reaction score
162,689
Kwanza kabisa tunamuomba Lissu ajitokeze na aseme alipelekwa Polisi kwa tuhuma zipi kwani inaonekana tuhuma hizo sio za kawaida unless zimeisha leo leo.

Binafsi nimesoma tweet ya mwandishi mmoja (Halima Gikandi) ambae kafanya mahojiano na Lissu, mahojiano ambayo yamegusia sababu za Lissu kupelekwa Polisi kwa mahojiano.

Tunamuomba Lissu aseme/ athibitishe angali mapema kwani hizi tuhuma n nzito mno hata nikandika hapa mods wanaweza kufuta na ninahakika zitaibua majala mzito sana hapa JF na kwenye mitandao zikiwekwa wazi.

Kama ni kweli Lissu kahojiwa kwa tuhuma hizi, basi tumuombee ingawa bado naamini hizo tuhuma zinaweza kufutwa na ndio maana amewaza hata kuachiwa.
 
Lissu ameachiwa, kwahiyo anaweza kutweet.
Ukiona hajatweet ujue ameamua mambo yake binafsi kutokuyaweka hadharani. Kwahiyo ni muhimu kuheshimu privacy yake.
Mbona kamueleze huyo mwandishi aliemuhoji?
 
1604349115055.png
 
Wambea tumepatikana kwenye hii thread🤣🤣🤣, mkuu ongeza nyama kwenye hii thread yako .. kwa uhai wa afya zetu 🤣🤣
 
Back
Top Bottom