Watanzania tumuombee nelson mandela ( mzee madiba)

Young Tanzanian

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
1,736
293
Africa na Dunia kwa ujumla ipo katka taharuki na unyonge uku wakimwombea Rais Mstaafu Wa Afrca Kusini na mwanaharakati wa kupambana na ubaguzi wa rangi na moja ya wapigania uhuru wa Afrika aliyepambana bega kwa bega na kna J.K.Nyerere, Kwame Nkurumah na wengneo kutafta uhuru wa mataifa mbalimbali ya Africa yupo hospitali nchini Africa ya kusini tunamuombea apone kwa amani na watanzania tumuombee Mzee wetu wa heshma mtu wa watu MADIBA...BABA MADIBA MUNGU AKUPE AFYA NJEMA.... WE LOV U
 
Back
Top Bottom