Weka Video ya hayo maneno tusikilize woteKwa hili la Tril. 360 sasa nimeamini kuwa UTAWALA wa AWAMU ya 5 ulitawaliwa na UONGO kila ENEO.
Rais aliunda Tume ya KUCHUNGUZA Ukwepaji wa kodi uliofanywa na BARRICK inakuja na Matokeo Eti tumeibiwa sana Tril.360. Rais anawahakikishia Watanzania na DUNIA kumbe ni KANYABOYA.
Kumbe hata Susla la WABUNGE 19 waliofukuzwa CHADEMA kusema Chadema ilihusika huenda ni UONGO MWINGINE na ndio Maana Serikali inawapambania Kuficha AIBU hiyo ikiwemo ya Kumtoa Mtuhumiwa GEREZANI usiku wa Manane na kwenda kumwapisha UBUNGE.
Ni AIBU kwa CCM
Hahahahahaaaaa.Kule Madagasca hii dawa inauzwa na Rais mwenyewe
Jiwe alikuwa msanii tuKwa hili la Tril. 360 sasa nimeamini kuwa UTAWALA wa AWAMU ya 5 ulitawaliwa na UONGO kila ENEO.
Rais aliunda Tume ya KUCHUNGUZA Ukwepaji wa kodi uliofanywa na BARRICK inakuja na Matokeo Eti tumeibiwa sana Tril.360. Rais anawahakikishia Watanzania na DUNIA kumbe ni KANYABOYA.
Kumbe hata Susla la WABUNGE 19 waliofukuzwa CHADEMA kusema Chadema ilihusika huenda ni UONGO MWINGINE na ndio Maana Serikali inawapambania Kuficha AIBU hiyo ikiwemo ya Kumtoa Mtuhumiwa GEREZANI usiku wa Manane na kwenda kumwapisha UBUNGE.
Ni AIBU kwa CCM
Jpm alikuwa msanii na diktetaHuyo pimbi achana nae kazi yake kutengeneza thread juu ya JPM huwezi kumkuta anaishauri serkali huu ya kupanda kwa gharama za maisha!
Wewe upo nchi hii lakini ??
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Acheni ujinga
Kabudi ni miongoni mwa watu waliompotosha sana na kumtia kiburi Rais Magufuli. Sidhani kama kuna jambo Rais alitaka kulifanya kabudi akamshauri vizuri au akamwambia hili huna mamlaka nalo, ndio maana Rais alimuona kama mtu makini sana.
Ilifika wakati Kabudi alikuwa anaongea utadhani hii nchi ni mali yake na sisi ni watoto wake. Alifikia wakati anatuambia tukae kimya.
Nikikumbuka mahojiano yake na Zuhura Yunus pale BBC, naogopa hata kumuita Professor.
Sijui hata anapata wapi ujasiri wa kujitokeza na kuongea hayo anayoyaongea.
Uongo ni uongo tuAkija Rais mwingine ndio utajua mambo ya Royol tour
Magu alikuwa muongo but vitu vinaonekana kuliko mtu mkweli na hakuna Jambo zaidi ya story tu
Uongo ni uongo tu
Kwa hili la Tril. 360 sasa nimeamini kuwa UTAWALA wa AWAMU ya 5 ulitawaliwa na UONGO kila ENEO.
Rais aliunda Tume ya KUCHUNGUZA Ukwepaji wa kodi uliofanywa na BARRICK inakuja na Matokeo Eti tumeibiwa sana Tril.360. Rais anawahakikishia Watanzania na DUNIA kumbe ni KANYABOYA.
Kumbe hata Susla la WABUNGE 19 waliofukuzwa CHADEMA kusema Chadema ilihusika huenda ni UONGO MWINGINE na ndio Maana Serikali inawapambania Kuficha AIBU hiyo ikiwemo ya Kumtoa Mtuhumiwa GEREZANI usiku wa Manane na kwenda kumwapisha UBUNGE.
Ni AIBU kwa CCM