Watanzania tulidanganywa sana na Utawala wa Awamu ya Tano

Kule Madagasca hii dawa inauzwa na Rais mwenyewe
JamiiForums-1033602259.jpg
JamiiForums-71234489.jpg
 
Ni Mpuuzitu. Ambae haoni kazi kubwa iliyoFanywa na Magufuli. Wachache wanasema magufuli Alitudanganya hivi jamani mwenye macho Ahambiwi tazama?

Wakati wa magufuli kila kona tulishuhudia miradi ikiendelea na Tuliona kwa macho.

Sasa Awamu hii Manenotu matendo 0 mifumuko ya bei kila kukicha. Uzembe serikalini umerudi kwa kasi.

Nchi ni kama imekosa kiongozi. Kuchekeana chekeanatu.
 
Bendera fata upepo ndio kitu kinachotuponza WTZ.

Wengi tunashabikia tusichokijua may be. Tunashindwa kuelewa kwanini Magufuli alipinga mkataba wa Bandari ya Bagamoyo alafu mudafupi baada kufa hoja iksrudishwa mezani.

Hatutaki kujua kwamba aliekuwa warizi wa nishati M.Kalemani alisema umeme MNHEP(Stiglers) ungeweza kuwaka November mwaka Jana lakini mpaka leo ni bilabila.

Hatutaki kujua Kwanini waliotakiwa kuilipa serikali mabilioni ya hela akini (Lugemalila) na mwenzie .leo wako nje na hatujui Kama hizowanalipa kidogo kidogo au la.

Hatutaki kujua nani agenti mkuu wa mafuta ghafi hapa nchini, sisi tumekalia ushabiki wa siasa na itikadi za kivyama, wakati hatunufaiki na AGENDA za wavunaji wa nchi.
 
Kunavitu hapa nchini vinamahusiano ya moja kwa moja.

Mikataba ya madini(usafishaji wa michanga)
Uzalishaji wa umeme,kusuasua kwa ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere..
Uingizaji wa mafuta ghafi
Usimamizi wa Bandari.
Na kusuasua kwa ujenzi wa Reli ya kisasa.

Muda wangu wa kuongea bado haujafika.
 
Bendera fata upepo ndio kitu kinachotuponza WTZ.

Wengi tunashabikia tusichokijua may be. Tunashindwa kuelewa kwanini Magufuli alipinga mkataba wa Bandari ya Bagamoyo alafu mudafupi baada kufa hoja iksrudishwa mezani.

Hatutaki kujua kwamba aliekuwa warizi wa nishati M.Kalemani alisema umeme MNHEP(Stickers) ungeweza kuwaka November mwaka Jana lakini mpaka leo ni bilabila.

Hatutaki kujua Kwanini waliotakiwa kuilipa serikali mabilioni ya hela akini (Lugemalila) na mwenzie .leo wako nje na hatujui Kama hizowanalipa kidogo kidogo au la.

Hatutaki kujua nani agenti mkuu wa mafuta ghafi hapa nchini, sisi tumekalia ushabiki wa siasa na itikadi za kivyama, wakati hatunufaiki na AGENDA za wavunaji wa nchi.
Pole sana kaeni kwenye vikao vyenu huko mjiulize kwanini mnaendelea kushabikia wizi na ukatili.
Katiba mpya ndio dawa ya kweli ya usanii wenu.
 
Pole sana kaeni kwenye vikao vyenu huko mjiulize kwanini mnaendelea kushabikia wizi na ukatili.
Katiba mpya ndio dawa ya kweli ya usanii wenu.
Hata hivyo Mimi so mshabiki, na siamini katiba kwamba ndio solution au unaweza badili chochote, naamini watu au mtu ndie anaweza KUBADILI.
 
Kwa hili la Tril. 360 sasa nimeamini kuwa UTAWALA wa AWAMU ya 5 ulitawaliwa na UONGO kila ENEO.

Rais aliunda Tume ya KUCHUNGUZA Ukwepaji wa kodi uliofanywa na BARRICK inakuja na Matokeo Eti tumeibiwa sana Tril.360. Rais anawahakikishia Watanzania na DUNIA kumbe ni KANYABOYA.

Kumbe hata Susla la WABUNGE 19 waliofukuzwa CHADEMA kusema Chadema ilihusika huenda ni UONGO MWINGINE na ndio Maana Serikali inawapambania Kuficha AIBU hiyo ikiwemo ya Kumtoa Mtuhumiwa GEREZANI usiku wa Manane na kwenda kumwapisha UBUNGE.

Ni AIBU kwa CCM


Kwa ujumla ninaona watu mlioishiwa sera,kila siku mnadandia matukio yasiokuwa na Tija kwa mustakabali wa ustawi wa maisha ya mwananchi na kero za huku site mtaan.

Kama mlidanganywa ebu tuambie kama
NDEGE ZA ATCL Hazipo?
SGR Haipo?
JNHP Haipo?
KIGONGO- BRIDGE Haipo?
STAND ZA MAGUFULI Hazipo nchi nzima?
FLYOVERS Dsm Hazipo?
Miradi ya ujenzi wa mahospitali na Dispensary nchi nzima haipo?
Ujenzi wa Mashule na uboreshaji wa zile za zamani haukufanyika?

Nidhamu ya kazi kwa watumishi wa UMMA haikuwepo?

PANYA ROAD Uliwasikia nchi nzima?

MAFISADI HAWAKUKAMATWA?

Na hata wewe muandika hii mada hukutumbuliwa?

Kama bado una ugomvi binafsi na Magufuli,Nakushauri na wewe umfuate huko aliko ili mkagombane au akakupe majibu sahihi unayoyataka.

Hakuna anaekuzuia kumfuata Magufuli ili mkamalizane huko huko.

Wala hauhitaji Passport ya kwenda alipo Magufuli.

Ni kuamua tu kama alivyoamua yule mzinzi wa Masanja mkandamizaji.
 
Huyo pimbi achana nae kazi yake kutengeneza thread juu ya JPM huwezi kumkuta anaishauri serkali huu ya kupanda kwa gharama za maisha!
Aliyeshauri alifaodika Nini zaidi ya kula kibondo Cha majeraha 30 ya harakaharaka. Leo hii ni kilema maibilisi yanazurura usiku na mchana kuharibu maboma ya watu.

Hicho kizazi alicholea mkuu wao mwendazake kitaangamizwa Kama kile Cha sodoma na komora. Ogopa machozi kukaa kifuani kwa watu bila majibu. Uwongo, uwongo, uwongo ni ushetani.
 
Kwa ujumla ninaona watu mlioishiwa sera,kila siku mnadandia matukio yasiokuwa na Tija kwa mustakabali wa ustawi wa maisha ya mwananchi na kero za huku site mtaan.

Kama mlidanganywa ebu tuambie kama
NDEGE ZA ATCL Hazipo?
SGR Haipo?
JNHP Haipo?
KIGONGO- BRIDGE Haipo?
STAND ZA MAGUFULI Hazipo nchi nzima?
FLYOVERS Dsm Hazipo?
Miradi ya ujenzi wa mahospitali na Dispensary nchi nzima haipo?
Ujenzi wa Mashule na uboreshaji wa zile za zamani haukufanyika?

Nidhamu ya kazi kwa watumishi wa UMMA haikuwepo?

PANYA ROAD Uliwasikia nchi nzima?

MAFISADI HAWAKUKAMATWA?

Na hata wewe muandika hii mada hukutumbuliwa?

Kama bado una ugomvi binafsi na Magufuli,Nakushauri na wewe umfuate huko aliko ili mkagombane au akakupe majibu sahihi unayoyataka.

Hakuna anaekuzuia kumfuata Magufuli ili mkamalizane huko huko.

Wala hauhitaji Passport ya kwenda alipo Magufuli.

Ni kuamua tu kama alivyoamua yule mzinzi wa Masanja mkandamizaji.
Unaumia Sana au? Hayo yote yalikuwa ni wajibu wake ayafanye kulingana na kiapo chake. Hakuapa kusema uwongo. Biblia haifundishi maugomvi, chuki, hasira na kujisifia.

Sasa nani Yuko tayari kumfuata huko motoni jehanamu. Watu wanavyopeleka petroli kila kukicha hata bwana mwenye faili lake huko alipo hawezi kumruhusu akutane na mwenye hekima, busara nk.

Kundi lake ni akina Iddi Amini, wezi, wauwaji nk.
 

Kabudi ni miongoni mwa watu waliompotosha sana na kumtia kiburi Rais Magufuli. Sidhani kama kuna jambo Rais alitaka kulifanya kabudi akamshauri vizuri au akamwambia hili huna mamlaka nalo, ndio maana Rais alimuona kama mtu makini sana.

Ilifika wakati Kabudi alikuwa anaongea utadhani hii nchi ni mali yake na sisi ni watoto wake. Alifikia wakati anatuambia tukae kimya.

Nikikumbuka mahojiano yake na Zuhura Yunus pale BBC, naogopa hata kumuita Professor.

Sijui hata anapata wapi ujasiri wa kujitokeza na kuongea hayo anayoyaongea.
 
Bendera fata upepo ndio kitu kinachotuponza WTZ.

Wengi tunashabikia tusichokijua may be. Tunashindwa kuelewa kwanini Magufuli alipinga mkataba wa Bandari ya Bagamoyo alafu mudafupi baada kufa hoja iksrudishwa mezani.

Hatutaki kujua kwamba aliekuwa warizi wa nishati M.Kalemani alisema umeme MNHEP(Stiglers) ungeweza kuwaka November mwaka Jana lakini mpaka leo ni bilabila.

Hatutaki kujua Kwanini waliotakiwa kuilipa serikali mabilioni ya hela akini (Lugemalila) na mwenzie .leo wako nje na hatujui Kama hizowanalipa kidogo kidogo au la.

Hatutaki kujua nani agenti mkuu wa mafuta ghafi hapa nchini, sisi tumekalia ushabiki wa siasa na itikadi za kivyama, wakati hatunufaiki na AGENDA za wavunaji wa nchi.
Ukigundulika unafualia yatakukuta ya Azron. Kama unajipenda na usiwape familia yako shida kaa hatua 💯 rusha mawe watajuana wenyewe.
 
Back
Top Bottom