Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Leo nimewaza sana baadhi ya matukio ya serikali ya awamu ya 5 baada ya kumsikia mhanga wa shambulio la kupigwa risasi wakati wa utawala wa Mwendazake.
Jambo nililolikumbuka ni hili la tril.360 za makinikia. Nikikumbuka jinsi tume zilivyoundwa na majaji na maprofesa kuchunguza suala hili na kuja na majibu kuwa tuliibiwa sana na Barrick na mwisho kuja na hitimisho la kuwa tunawadai tril.360.
Niliamini kweli Mwendazake anaipigania nchi lakini baada ya ukimya kutawala wa kulipwa hizo fedha na mwisho Prof. Kabudi kuwatamkia watanzania kuwa zile tril.360 zilikuwa ni kayaboya niliishiwa nguvu, na kuamini kuwa kumbe Mwendazake alikuwa anatudanganya mambo mengi sio hili tu.
Niwatakie Jumamosi nono.
Tril.360 ni "KANYABOYA".
Jambo nililolikumbuka ni hili la tril.360 za makinikia. Nikikumbuka jinsi tume zilivyoundwa na majaji na maprofesa kuchunguza suala hili na kuja na majibu kuwa tuliibiwa sana na Barrick na mwisho kuja na hitimisho la kuwa tunawadai tril.360.
Niliamini kweli Mwendazake anaipigania nchi lakini baada ya ukimya kutawala wa kulipwa hizo fedha na mwisho Prof. Kabudi kuwatamkia watanzania kuwa zile tril.360 zilikuwa ni kayaboya niliishiwa nguvu, na kuamini kuwa kumbe Mwendazake alikuwa anatudanganya mambo mengi sio hili tu.
Niwatakie Jumamosi nono.
Tril.360 ni "KANYABOYA".