Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Mkuu we hujui, njoo mtaani ushuhudieNani anayejituma akakosa na kuanza kulalamika hali mbaya?
Mkuu we hujui, njoo mtaani ushuhudieNani anayejituma akakosa na kuanza kulalamika hali mbaya?
Kwa hiyo unaishi maghorofani lakini unajidai una shidaa?Hebu njoo Kikonga Tulime.Lumumba
ni dalili nzuri, kama mtoto anakua kwa kasi ipo siku atamfikia na hata kumpita yule mkubwa.2. Kasi kubwa ya kukua uchumi ni dalili ya uchumi mdogo. Ni kama vile mtoto mdogo anavyokua kwa kasi sana ukimlinganisha na watu wakubwa.
Mbona hamvitaji hivyo vijiji?uchumi unakuwa kwa ngazi ya taifa ... lkn kwa huku mtaani maisha au vijijini maisha ni magumu kuliko kipindi kilichopita....
tatizo watu hawataki kufanya kazi, wanataka pesa iwafate wao badala ya wao kwenda kuisaka pesa.uchumi unakuwa kwa ngazi ya taifa ... lkn kwa huku mtaani maisha au vijijini maisha ni magumu kuliko kipindi kilichopita....
Natabiri machafuko makubwa kwenye thread hii, ama la sivyo umuombe mange atoe hizi takwimusalaam...
kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Hii taarifa imetolewa na world bank (WB), uchumi wetu wa Tanzania unakua kwa kasi ya 7.2% kwa mwaka huu 2017. Hivyo kuifanya Tanzania kuwa ya 4 duniani na ya pili kwa Africa kwa kasi ya ukuaji uchumi. naomba tujipigie makofi...
View attachment 526300
Ushauri: tusiendekeze sana siasa, tuchapeni kazi jamani. ugumu wa maisha hatoumaliza Magu wala Loawasa. ni sisi wenyewe raia tukichapa kazi kwa bidii tutau tokomeza umasikini. kila mtanzania kwa nafasi yake aliyopo ajenge nchi. siasa tufanye ikifika 2020. sasa hivi tuwaache waliochagulia wafanye kazi zao, huu sio muda wa kuwa evaluate. they need time to accomplish what they have promised.
We kweli LIJINGALAO la ccm! nani kasema nna shida?Kwa hiyo unaishi maghorofani lakini unajidai una shidaa?Hebu njoo Kikonga Tulime.
hahaha kweli mkuu, yaani hapa nijiandee kushambuliwa na team mange. maana wao wana muda wa kutosha kuwepo online siku nzima ila bado wanalalamika maisha magumu.Natabiri machafuko makubwa kwenye thread hii, ama la sivyo umuombe mange atoe hizi takwimu
yani sasa ivimna majibu mawili!tatizo watu hawataki kufanya kazi,
Pole sana, inaonekana hata kula yako ni ya taabu sanaLabda kwenye makaratasi, huku kwetu wananchi Hali ni mbaya sana
Mkuu fanya kazi usiendekeze sana kulaUnawezaje sema uchumi unakua kwa kasi wakati HUKU KWETUUUU hata kula imekuwa tabu!!!!
Anaweza kufa kwa kifaduro kabla ya kufikia miaka mitano pia.ni dalili nzuri, kama mtoto anakua kwa kasi ipo siku atamfikia na hata kumpita yule mkubwa.
China kabla ya kuendelea na wao walipitia kipindi kigumu kama sie tu. huwezi ukakua bila ya shida kdogo.
Huwezi kukaa kijiweni kuongea siasa ukitegemea maisha yako yatabadilika, fanya kazi hata kwenye vitabu vya dini imeandikwaHuo uchumi kukua haunisaidii chochote. Hali yangu mbaya
Kwenu wavivu sana.Labda kwenye makaratasi, huku kwetu wananchi Hali ni mbaya sana
Na uchumi unaweza kukua hela karibu zote wakachukua kina Acacia katika makanika..Watanzania jamani kuweni na akili kila siku mnaambiwa Sekta zinazochangia kwenye pato la taifa-kama Nishati, Madini, telecommunicatio, utalii Watanzania wengi hawajaajiliwa huko na kinachopatikana kwenye hizo sekta bado kinapelekwa kwenye sekta ambazo haziwafaidishi watanzania wengi