Watanzania tujipongeze: Tz ni ya 5 duniani kwa kasi ya ukuaji uchumi.

Huo uchumi kukua haunisaidii chochote. Hali yangu mbaya
Wakati mwingine wanachukulia investment za nje ambazo zina longterm benefits. Kwahiyo si lazima u-feel immediately ila tuendako ndo matatizo yanakwenda kupungua. Hata hivyo nafuu yako kama mtu binafsi utaipata kwa kufanya kazi.
 
nitajie nchi moja ambayo imeendelea kwa kuwaongezea mishahara wafanyakazi tu?.. tunahitaji tuwekeze kwenye miundo mbinu kwanza. kama kipato hakijitoshelezi, ongeza vyanzo vingine vya mapato.
Ni kweli lazima tuwekeze kweye miundombinu,lakini Chato Internationa Airport inafaidisha watanzania Wangapi?
 
Kama njaa na ukata ndio kigezo wa ukuaji uchumi it's very funny.
 
Naona watu wanatoka mipovu lakini wameshindwa kutofautisha ukuwaji wa uchumi na maendeleo ya Jamii
 
ajitume kwenye kufanya nini,hizo kazi zikuwapi ali watu wafanye kwa kujituma?? Job creation ni kazi ya serikali
Twendeni kwenye kilimo....kodi za ajabu ajabu zimefutwa.

Viwanda vinaendelea kujengwa....pwani kuna viwanda 80+ vinajengwa.
 
Unawezaje sema uchumi unakua kwa kasi wakati HUKU KWETUUUU hata kula imekuwa tabu!!!!
Unawezaje sema uchumi unakua kwa kasi wakati HUKU KWETUUUU hata kula imekuwa tabu!!!!
Unawezaje sema uchumi unakua kwa kasi wakati HUKU KWETUUUU hata kula imekuwa tabu!!!!
Hizi report zinawasaidiaje waTz?
Watumishi Mwaka wa pili huu ameshindwa kuwaongezea Asilimia ata 15% tu ya mishahara! Ajifunze kwa JK ktk kipindi chake aliongeza mishahara zaidi ya 300%
hizi taarifa ni za world bank mkawaulize wao.
 
Kama njaa na ukata ndio kigezo wa ukuaji uchumi it's very funny.
World bank wanapotoa takwimu mbaya dhidi ya Tanzania tunaitukana sana serikali....Takwimu zikija vizuri tunagoma kupongeza!
 
nitajie nchi moja ambayo imeendelea kwa kuwaongezea mishahara wafanyakazi tu?.. tunahitaji tuwekeze kwenye miundo mbinu kwanza. kama kipato hakijitoshelezi, ongeza vyanzo vingine vya mapato.
Alafu maana ya uchumi kukua lazima uakisi kipato halisi cha mtu,uchumi gani unakua alafu ushindwe kuongeza mishahara-unapoambiwa uchumi umekuwa maana yake kuna productivity iliyofanywa na watu wako hivyo lazima kuwaongezea watu wako mishahara kama reward ili waendelee kuzalisha zaidi ukipeleka chote kwenye miundombinu utawa discourage wazalishaji mwisho uchumi uta drop
 
Ungekuwa na hali mbaya ungeshinda na internet siku nzima? Acha kukebehi maisha halisi ya watu, kuna namna nyingi unaweza kufikisha ujumbe bila ya kukejeli wenye dhiki ya ukweli!
Kwani kuwa na hali mbaya ya kifedha ndio kunamzuia asiingie mtandanoni angalau kwa wiki mara 1-
 
Hizi hbr jamaa zetu hawazipendi ila tafiti za twaweza wanazikubali
mie wananiboa wanapoleta siasa kwenye kila jambo. as if siasa ndio itayafanya maisha yao yawe mazuri. something has to do with "education"..
 
njaa na ukata haiwezi kumuacha salama mtu ambae ni mvivu na hataki kufanya kazi
Wapi ulisha wahi kuona mtu anakosa mulo au ada ya watoto alafu anaambiwa fanya kazi fulani ile pale upate hela alafu huyo mtu akakataa kufanya kisha akaja kukulalimikia kuwa maisha magumu-Shida watanzania mnakaririshwa na Wanasiasa ambao hawajui kama akina Baba Jesca.
Nchi za wenzetu Unemployment rate ni ndogo kutokana na Serikali zao kuweka mazingira ya kuwezesha watu kufanya kazi-sasa Tanzania Viwanda vinahesabika alafu unamwambia mtu afanye kazi sijui kazi ya kutokea wapi??
budget kila mwaka haitekelezeki hela hazipo na kidogo kinachopatikana hupelekwa kwenye bila kuzingatia vipaumbele vya Taifa
 
Alafu maana ya uchumi kukua lazima uakisi kipato halisi cha mtu,uchumi gani unakua alafu ushindwe kuongeza mishahara-unapoambiwa uchumi umekuwa maana yake kuna productivity iliyofanywa na watu wako hivyo lazima kuwaongezea watu wako mishahara kama reward ili waendelee kuzalisha zaidi ukipeleka chote kwenye miundombinu utawa discourage wazalishaji mwisho uchumi uta drop
mkuu, fikiria kwa wigo mpana.

ulimwengu wa sasa ni wa kiushindani sana. hii miundo mbinu tunayo ijenga ndio itakua uwekezaji wetu. ikikamilika tutazalisha ajira za kutosha, tutasafirisha vitu kwenda nchi jirani (tutaongeza mapato ya serikali), viwanda vitajengwa zaidi maana usafirishaji utakua mwepesi nk.

lets see the bigger picture.
 
Back
Top Bottom