Watanzania tu wavivu mno!

Mkuu ukiipata nishtue nami
 
de beers maline..Atlas maline..hazard maline..Globe Maline I and J fisheries izo kampuni za capetown dock miaka ya 1998 mpaka 2004 ukisema unatoka Tanzania kazi unapata hata shule watakupeleka wenyewe kwa jinsi sifa ya upigaji kazi ya Watanzania wengine waliopita hapo...watanzania wapo kila sehemu ya dunia hii na wanapiga kazi wewe hao unaongelea sijui Tz ya wapi iyo...
 
ni jambo la aibu ukitembelea hoteli za kitalii wahudumu wamezubaa mno. Fikiria mgeni anakuja wewe mhudumu unashangaa TV (enzi za BUNGE LIVE) au mpira wa EPL.
 
Sasa Ladyfurahia kwa nini uammke saa9 alfajiri? mbona njia za mkato zipo?
 
Tunasubiri sukari..... tunywe chai !!!😛😛😛
Mkuu Zamiluni,malimao na chumvi si vinapatikana?,achana na chai,wewe kunywa uji wa sembe au dona au unga wa muhogo,sababu sukari inatengenezewa vibali kwa watu wachache kuagiza ili kutunisha mifuko ya wakubwa majizi na majambazi.
 
Post hewa.
 

Unamwibia mwajiri wako muda, afu unakuwa wa kwanza kuwasema wafanyakazi wengine.....haya ndo mleta mada anamaanisha...
 
watanzania tumekubuhu kwa uvivu hilo halina ubishi. Nasubiria mradi wa Bomba la mafuta (Hoima-Uganda to Tanga port) watajaa wachina, wahindi na wakenya, watanzania wengi tutabaki kuwa Mama Ntilie na Wezi wa vipisi vya mabomba. ptuuu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…