kemea bwanaYo Yo unajua pamoja na kusikitika nimekijuta nacheka huo waraka kuanzia 1-11 aliyekuwa akiuandika, hilo neno "****en" lilivyowekewa msisitizo..
Unajua kukemea waraka kama huo ni kuupeleka straight to the police department i believe kidogo kule South Africa polisi wanafanya follow up tofauti na wa huku kwetukemea bwana
i mean kemea hayo maneno yalokuchekeshaUnajua kukemea waraka kama huo ni kuupeleka straight to the police department i believe kidogo kule South Africa polisi wanafanya follow up tofauti na wa huku kwetu
Niliishayakemea tayari....i mean kemea hayo maneno yalokuchekesha
wakuu afrika kusini sio sehemu salama tena...nafikiri sasa tuwaachie nchi yao wema wetu tuliowatendea baba na babu zao miaka ya nyuma unatosha.....tuwaachie nchi yao......
Hiyo wanawatumia watu kwenye mail boxes zao kuwapa warnings....