Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.
Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.
Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.
walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?
Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?
NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.
Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.
walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?
Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?
NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.