Watanzania ndio watu wanafiki zaidi duniani

Watanzania ndio watu wanafiki zaidi duniani

Ni kweli hatuko consistency leo unamsifia huyu akitoka una msema vibaya
 
Wanawake nao ni wanafiki tena sana,ukiwa nae baby,baby,mabusu kibao,akitoka kwako tu anawaambia wenzie,mu hata simpendi yule,angalia, anatembea kama anarudi nyuma?
 
mnafiki anasifa tatu,moja huwa anapenda kusema uongo,pili ukimkabidhi anamana anafanya hiyana,ukimwani haaminiki hizo ndio sifa za mnafiki angalia jamii inayokuzunguka na wewe mwenyewe vip?
 
Hizi tafiti zinazotolewa siku hizi kweli zinalenga watanzania wote au kuna mtu anatafutwa?
 
Tukiweka utafiti pembeni, watanzania walio wengi kweli ni wanafiki na wanaishi maisha yasiyo halisi.

Kabisa aisee.

Kuna watu humu humu JF kwa mfano, eti wanawachukia sana mashoga lakini wanataka Hillary Clinton ashinde huku huyo huyo Hillary akiwa muunga mkono wa ndoa za jinsia moja na ana mashoga kibao walio kwenye timu ya kampeni yake.

Sasa kama mtu unawachukia mashoga kiasi cha kuwaona kama wao si binadamu lakini hapo hapo unamuunga mkono muungaji mkono wa ushoga na mashoga, wewe ni nani?

What logical common sense does that make?

Zero, nada, zilch!
 
waliofanya utafiti wamesahau nchi yao iliyoingia vitani na Sadam kwa kudai ana silaha za maangamizi baadae wakaomba radhi wamekosea au wanasahau walivyolazimisha kutuuzia rada halafu baadae wanatuambia kuwa kuna watu wameficha pesa huko kwao wazungu ndio wanafiki namba moja sema sisi tumerithi kwao
 
Kuna Mkuu wa taasisi Fulani hapa ni mnafiki,. Anadai katoa ajira kwa vijana wakati ukweli tunaujua . Ila Mungu anamuona
 
Weka ushahidi tuusome, labda hujakielewa ulichokisoma. Usitumezeshe unafik wako.

Ingawa wapo Watanzania wanafik wengi sana lakini sidhani kama tumeshika namba moja duniani.
Nilishawahi kusema huko nyuma kipindi cha uchaguzi wa rais 2015 kuwa "Watanzania ni moja ya watu wanaaafiki sana duniani" na watachukua ccm tena.
 
Weka ushahidi tuusome, labda hujakielewa ulichokisoma. Usitumezeshe unafik wako.

Ingawa wapo Watanzania wanafik wengi sana lakini sidhani kama tumeshika namba moja duniani.
Google
 
Hiyo ni ishara ya kutambulika kimataifa
 
Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Watu waache kufanya utafiti kwa ajili ya maendeleo ila wafanye wa kutafuta watu wanafiki!? For what!? Are kidding me!? Hivi Unajua hata cost za kufanya utafiti!?
 
Nilishawahi kusema huko nyuma kipindi cha uchaguzi wa rais 2015 kuwa "Watanzania ni moja ya watu wanaaafiki sana duniani" na watachukua ccm tena.

Sawa. Hapa tunataka kuuona huo utafiti kwani binafsi nimeshatembea nchi nyingi na ukinambia nizi rank ya kwanza itakuwa Egypt.

Sikatai kuwa Tanzania unafik upo lakini nakataa kuwa ni namba moja kwa unafik duniani.
 
Kabisa aisee.

Kuna watu humu humu JF kwa mfano, eti wanawachukia sana mashoga lakini wanataka Hillary Clinton ashinde huku huyo huyo Hillary akiwa muunga mkono wa ndoa za jinsia moja na ana mashoga kibao walio kwenye timu ya kampeni yake.

Sasa kama mtu unawachukia mashoga kiasi cha kuwaona kama wao si binadamu lakini hapo hapo unamuunga mkono muungaji mkono wa ushoga na mashoga, wewe ni nani?

What logical common sense does that make?

Zero, nada, zilch!
Wanalaani ushoga na wakati huo huo wanawaingilia wanawake wao kwa tigo.

Sasa sijui tofauti yao na mashoga ni ipi.
 
Back
Top Bottom