Wewe utakuwa mchawi, ulijuaje kuhusu watanzania ni wanafiki kabla ya utafiti?Nilishasemaga mm humu
Sijawahi kuona watu wanafki kama sisi watanzania
Mkuu kwsababu naishi Tanzania na ni mtanzania najua tuu, mijitu minafki sna na yote hii sababu asilimia kubwa hatujasomaWewe utakuwa mchawi, ulijuaje kuhusu watanzania ni wanafiki kabla ya utafiti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mtanzania lakini sio mnafiki.
Wewe wacha hizo, tunataka source ya huu ufataani.
Sasa mkuu kama ulivyoutabiri unafiki..watanzania tunatakiwa tufanyeje ila tuepuke unafiki.Mkuu kwsababu naishi Tanzania na ni mtanzania najua tuu, mijitu minafki sna na yote hii sababu asilimia kubwa hatujasoma
Wewe mwenyewe ni mnafiki bisha.Vigezo vya kudhibitisha viko wapi?
Bi mkubwa nakuona kama upo no mbili maja lizaboni 3 4 .....Weka ushahidi tuusome, labda hujakielewa ulichokisoma. Usitumezeshe unafik wako.
Ingawa wapo Watanzania wanafik wengi sana lakini sidhani kama tumeshika namba moja duniani.
Bi mkubwa nakuona kama upo no mbili maja lizaboni 3 4 .....
Awali ya yote zuia mdomo kuropoka usiyoyajua, aidha pili Tusipende kufuata mkumbo, zipo taasis na wataalamu hapa nchini na km hujui au huelewi ni vyema ukauliza hta kwa kupga cmu, bahat nzuri taasisi zetu zote zina namba za cmuSasa mkuu kama ulivyoutabiri unafiki..watanzania tunatakiwa tufanyeje ila tuepuke unafiki.
ukweli kabisaa,na waoga,unapokuwa muoga uoga huzaa kujipendekeza,kujipendekeza kunazaa unafikUtafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
WanafikiwanafikiwanafikiNa pia UKWEPAJI KODI, kawaulize NHC kuhusu wakwepa kodi mapapa, mzee wa kubadili gia yupo kwenye list juu kabisa.
Huo ni utafiti wa kudhalilisha watu tu, ni watanzania wachache ambao wataukubali unless research methodology iliyotumika inaridhisha, yaani wameangalia nchi ngapi, Tanzania wamepitia watu wangapi kwa vigezo vipi? Sikubaliani nao maana nikiwakubalia nitakuwa mnafiki
Ukweli lazima usemwe hakuna namna.Tumeishi na Kufanya kazi na Wazungu, tumeishi na Waafrika, wote wa mataifa mbali mbali.
Watanzania Taifa lenye mikono safi. Watu safi.
Tunatofauti zetu, fikra na mitazamo yetu tofauti, ndio binaadamu alivyo lakini wakati The Mother Land ikiguswa, wote tuko mstari wa mbele kumtetea mama yetu "Tanzania".
Tanzania Daima.
When it comes to defend the honour of our nation, we shall not compromise.