Watanzania ndio watu wanafiki zaidi duniani

Watanzania ndio watu wanafiki zaidi duniani

Ukweli gani? Ukweli wa Uingereza kuivamia Iraq na kunasema kuwa Iraq ina silaha kali za kuangamiza? Kumuua baba wa watu "Sadam"?
Huu ndio unafiki wa hali ya juu maana maisha ya mailioni ya wanaadamu wasiokuwa na hatia haswa watoto na mama zao wamepoteza maisha yao.

Nani mnafiki hapa??
 
Ni kweli, no single dought ..
.
Ukiona kadought na yeye ndo wale wale,
 
Hao unaowasema namba moja Yao ni chichiem

Ova
 
Samahani wanajamvi mimi nakasirishwa sana na tabia ya watu kushabikia vitu ambavyo lengo ni kutoa picha kuwa seeikali iliyopo madarakani ni ya hovyo HUU ni unafki tu nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
KUNA UTAFITI UNASEMA KWA MWAKA MZIMA HUU ULIOPITA VICHAA VYA WATANZANIA VIMEONGEZEKA KUTOKA 16%- 17% NI SABABU GANI ETI?
 
Ni wanafiki sana, msema ukweli mpenzi wa Mungu, yani Hawa ukiwachunguza utakuta wanamsifu MTU ambae awali walimtukana.
Hawa kwao unaweza ukawa Rafiki Leo, kesho adui.
They're snakes
 
Watz acha kabisa
1. Anaweza akawa anakuchekea kumbe anakuchukia ile mbaya
2. Kutopenda wengine waendelee
3. Kujionyesha wakati wa kutoa msaada
4. Kutangaza matatizo ya watu
5. Umbea umbea
6.
 
Naunga mkono na mguu hoja! Na ndo maana maendeleo hayaonekani, badala ya kupiga hatua kwenda mbele badala Yake tunapiga hatua 5 kurudi nyuma!
 
Back
Top Bottom