Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Kweli .tena ni wachawi sana
Ni kweli maana ni juzi tuu tumetakiwa tuchague kati ya (raha) elimu bure chekechea hadi chuo kikuu au (shida) elimu ya kuchangia chekechea hadi secondary tuu na chuo kikuu unalipia .matokea tumechagua (shida) sasa hivi shida inaendelezwa kwa uzalendo mkubwa .tayari tunalalamika shida shida .sasa huu kama sio unafiki ni nini [emoji844]Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Chadema ndio chanzo cha unafiki huuTunaongoza kwenye unafiki, uongo, majungu, udokozi, Wizi wa Mali za umma, rushwa mpaka bungeni n.k.
Wee mzee umezeeka pumzika siasa utuachie vijanaChadema ndio chanzo cha unafiki huu
Kubadili gia angani
Mfano mzuri mkutano wa wahariri na raisi wa nchiyawezekana sababu loh... tukianzia kwenye familia aiseee ni hatari
acha kabisa sina hamu na wale watuMfano mzuri mkutano wa wahariri na raisi wa nchi
Watu wa dar es salaam,waishabeba kila lawama,sasa tunawapelekea wagogoNi kweli,hasa wa dar es salaam
Ili muendelee kutuweka kwenye rekodi za unafiki duniani!!!Wee mzee umezeeka pumzika siasa utuachie vijana
Kama kweli utafiti umefanywa basi nafikiri hivyo vyuo havina shughuli za kufanya sasa. Kuna wanafiki zaidi ya wazungu katika ulimwengu huu?Utafiti uliofanywa na wasomi wa Chuo kikuu cha Nottingham nchini uingereza ulibaini kuwa sisi watanzania ndio vinara wa kuwa wanafiki duniani nini maoni yako.
Wazee ndiyo wanafiki, wenzako wanatangulia we unasubiri niniIli muendelee kutuweka kwenye rekodi za unafiki duniani!!!
😀😀😀😀😀😀😀😀 Nimecheka hapo kwenye red.Na pia UKWEPAJI KODI, kawaulize NHC kuhusu wakwepa kodi mapapa, mzee wa kubadili gia yupo kwenye list juu kabisa.
Wewe hauta tanguliaWazee ndiyo wanafiki, wenzako wanatangulia we unasubiri nini
UPO SAHIHI KABISA,Kama kweli utafiti umefanywa basi nafikiri hivyo vyuo havina shughuli za kufanya sasa. Kuna wanafiki zaidi ya wazungu katika ulimwengu huu?