Obamamtoto
Senior Member
- Oct 23, 2012
- 130
- 179
huo utafiti una ukweli maana hapa bongo kila kitu kikifanywa na viongozi hawachelewi kukiponda na kisipofanyika hawachelewi kulaumu kiukweli tunaongoza kwa unafiki sana hata wanasiasa tulio nao wao ndio vinara wa unafiki sana leo wanaongea hvi kesho wanasema hvi mfano mzuri walisema tunataka raisi dikteta ili nchi inyooke Mungu alivyo mkubwa sana akatupa [HASHTAG]#MAGUFULI[/HASHTAG] sasa wanalalamika wanasema ni dikteta hafai [HASHTAG]#shittanzanians[/HASHTAG]
[HASHTAG]#wabongoniwanafikiahatawewenimnafikiuliyetoaposthii[/HASHTAG]
[HASHTAG]#wabongoniwanafikiahatawewenimnafikiuliyetoaposthii[/HASHTAG]