rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
inakuwaje tunashindwa kuungana na watu tunaofanana kila kitu lakini tunaungana na wakenya tusiofanana kabisa???
wazambia wanakubalika zaidi tanzania na sisi watanzania tunakubalika zaidi zambia
watanzania hawakubaliki kabisa kenya na wakenya hawakubaliki kabisa tanzania
shida tupu!
serikali yetu mpya ipitie huu muungano na kuuvunja tuungane na ndugu zetu wazambia!
wazambia wanakubalika zaidi tanzania na sisi watanzania tunakubalika zaidi zambia
watanzania hawakubaliki kabisa kenya na wakenya hawakubaliki kabisa tanzania
shida tupu!
serikali yetu mpya ipitie huu muungano na kuuvunja tuungane na ndugu zetu wazambia!