inakuwaje tunashindwa kuungana na watu tunaofanana kila kitu lakini tunaungana na wakenya tusiofanana kabisa???
wazambia wanakubalika zaidi tanzania na sisi watanzania tunakubalika zaidi zambia
watanzania hawakubaliki kabisa kenya na wakenya hawakubaliki kabisa tanzania
shida tupu!
serikali yetu mpya ipitie huu muungano na kuuvunja tuungane na ndugu zetu wazambia!
you are right nduguWale ni majirani tu wala si ndugu......sisi ndugu zetu ni wazambia, wazimbabwe, wamozambique na waghana.....lakini wakenya.....hapana..
Aliyeanzisha hii sred nani? Mbongoooo? Mzambia? au mkenya? Nangoja jib
Aliyeanzisha hii sred nani? Mbongoooo? Mzambia? au mkenya? Nangoja jib
Nahisi ni Mzambia!
watanzania ni friends of convenience kwetu sisi wakenya, nothing more. EAC is designed to be more of a business than a social model, hata maadui hufanya biashara pamoja for mutual benefits, biashara ikiisha kila mtu anaenda zake na si lazima wasalimiane. we need each other as neighbours, in as much as y'all deny this, its unavoidable. kupanda mbegu ya chuki hapa si vizuri, hautapata forum yoyote ya Kikenya ikiponda wabongo just because you are slow, uneducated and lazy, i think thats what our main difference is. Great minds discuss issues not people. Nawajua wakenya wengi pale mererani wanachuma proper. ukija Nairobi enda pale Loita hse, kule juu kuna kampuni inaitwa Muthama gemstones, uliza ni akina nani wanaouza Tanzanite kwa sana, ndio utajua hatuji Bongo kuangalia warembo ama kujifunza kiswahili, tumekuja kuchuma hizo hizo minerals zote... mtachekwa nyie waswahili
Kuna wakati nilikuwa kwenye basi nasafiri kuja Dar. Tulipofika Chalinze basi lilipata hitilafu abiria tulishuka, wengine walikwenda migahawani na wengine tulikuwa karibu na lile basi tukiangalia matengenezo. Pembeni yangu kulikuna mikenya imepanga nyumba jirani yetu basi hatulali,kazi yao kujipendekeza sana kwa wabongo,halafu wao wajua kila kitu,kila saa wao ni kiingereza chao eti wanadai sisi hatui hicho kiinglish chao
watanzania ni friends of convenience kwetu sisi wakenya, nothing more. EAC is designed to be more of a business than a social model, hata maadui hufanya biashara pamoja for mutual benefits, biashara ikiisha kila mtu anaenda zake na si lazima wasalimiane. we need each other as neighbours, in as much as y'all deny this, its unavoidable. kupanda mbegu ya chuki hapa si vizuri, hautapata forum yoyote ya Kikenya ikiponda wabongo just because you are slow, uneducated and lazy, i think thats what our main difference is. Great minds discuss issues not people. Nawajua wakenya wengi pale mererani wanachuma proper. ukija Nairobi enda pale Loita hse, kule juu kuna kampuni inaitwa Muthama gemstones, uliza ni akina nani wanaouza Tanzanite kwa sana, ndio utajua hatuji Bongo kuangalia warembo ama kujifunza kiswahili, tumekuja kuchuma hizo hizo minerals zote... mtachekwa nyie waswahili
Nimesoma nawakenya vilaza kinoma anaongea English tu kwenye principle za masomo hovyo,2likuwa tunawaweka katka kutambulisha majina ya members kwenye kundi seminar nzima tunasimamia wenyewe,hata kwenye biashara wa kawaida tu,TANZANIANS LETS GO
A dog who attends a flea circus most likely will steal the whole show,can we help you idiot!