Watanzania muwe Makini Wakenya wameanza tena Chokochoko zao

Bill Lugano

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
1,186
6,402
Nlikuwa Paris Ufaransa kwenye Mkutano wa the smartest young people of the World. Nilipitia hapo nikitokea Berlin Ujeruman ambako nlienda msalimia rafiki yangu mmoja wa Kitambo ambaye alikuwa amechanganyikiwa kidogo kuwa na pesa nyingi halafu hajui sasa atumieje so kichwa kikawa kinamuuma.

Nlifika huko nikitokea Brunei nilipokuwa na mapumziko ya week 1 na mabint wawili mmoja toka Spain na Mwingine Brazil ambao walikuwa wakinipaka asali na chocolate na kuninyonya kila sehemu ya mwili kwa kunifanyia massage ya kutumia ulimi. Nikajisikia vizuri.

Hiyo ni huduma ambayo unalipia usd 50,000.tu kwa saa kwa kila mhudumu. Unaamua mwenyewe masaa mangapi.

Nikaenda USA kuonana na Mzee tukachukuana mpaka Denmark kulikuwa na kikao cha familia kujadili suala mdogo wangu wa mwisho yeye kutotaka tembelea Africa kabisa. Maana anasema anaogopa huku Vita, Njaa na hali mbaya ya kimazingira. Ilibidi waje wataalamu kadhaa wamweleze Africa ikoje.

Maana sisi kwetu ni mchanganyiko wa Mtanzania na Mzungu. Na tunatamani sana watu wetu waijue angaa kidogo Africa.

Sasa issue ipo kwenye hii meeting. Alikuwepo kiongozi mkubwa toka Kenya. Bila hata kupepesa macho alithubutu kusema wanajivunia sana kuwa na kijana kama mimi. Nlishtuka kidogo ila kwa heshima sikutaka kumkosoa in public. Na hii ilitokea akiwa anatoa shukrani yeye kualikwa maana ule Mkutano toka Africa tulikuwa Vijana wa3 tu. Mimi na mwingine toka SA na Egypt.

Nikasema hapa Wakenya wanataka kujichukulia sifa kupitia mimi. Maana kiukweli nilitema madini mpaka jamaa wengine 63 toka nchi mbalimbali Duniani walishindwa kuhimili. Wakasimama na kuanza kuimba kuwa wana imani sana na mimi.

Elon Musk mwenyewe alikuja kwangu akiomba nisign kwenye Autograph yake. Na akaniambia anikutanishe na wataalamu wake. Nikawaelezee sifa ya msichana ninayempenda anitengenezee robot special kabisa for me kwa ajili ya kuli date. Amenishauri sana.kuwa nisijaribu kuoa.wanawake wanaweza corrupt akili yangu. Na wengine wanaweza tu wakawa wanataka kuwa wana chakatwa na mtu mwenye akili nyingi na utajiri kama mimi.

Mimi nimetoka tu kwenye meeting zinakuja order watu wanataka niwauzie mbegu zangu.yaani either niwachakate au niwawekee kwenye vikopo maalum wakajipatie mimba.

Huyu Kiongozi Mkenya amekuja na mabinti watatu wazuri sana.anasema niwapime nijilie nitakavyo.nikasema hapana.inakuwa ngumu ratiba yangu inabana.ila nimemwambia alinikosea sana kusema mimi natokea Kenya na ni fahari kwao.

Watanzania tusiache kutumia akili.inalipa sana.wakati mnakaza kuwa chawa wenzenu wanakazana kuwa nyuki kuzalisha asali.msibweteke ndugu zanguni. Fanya kazi.hata kama unalipwa million 10 tu kwa mwezi fanya hivyo hivyo.huwezi jua utapata exposure kiasi gani.
 
FB_IMG_1677269029006.jpg
 
Jambo la msingi ni kutumia bongo,wenzetu Kenya na Nigeria,kwao uwanja wa kujidai katika kutafuta fulsa ni pamoja na nje ya mipaka Yao,Dunia nzima kwao ni nchi Yao,hawafungwi na mipaka wanatafuta ajira,London,newyork kama vile wanavyotafuta ajira Mombasa,na Abuja!!
Sie wabongo,Kuna kijana hata kuhama Dar kwenda mkoani anaona shida!!
 
Nlikuwa Paris Ufaransa kwenye Mkutano wa the smartest young people of the World. Nilipitia hapo nikitokea Berlin Ujeruman ambako nlienda msalimia rafiki yangu mmoja wa Kitambo ambaye alikuwa amechanganyikiwa kidogo kuwa na pesa nyingi halafu hajui sasa atumieje so kichwa kikawa kinamuuma.

Nlifika huko nikitokea Brunei nilipokuwa na mapumziko ya week 1 na mabint wawili mmoja toka Spain na Mwingine Brazil ambao walikuwa wakinipaka asali na chocolate na kuninyonya kila sehemu ya mwili kwa kunifanyia massage ya kutumia ulimi. Nikajisikia vizuri.

Hiyo ni huduma ambayo unalipia usd 50,000.tu kwa saa kwa kila mhudumu. Unaamua mwenyewe masaa mangapi.

Nikaenda USA kuonana na Mzee tukachukuana mpaka Denmark kulikuwa na kikao cha familia kujadili suala mdogo wangu wa mwisho yeye kutotaka tembelea Africa kabisa. Maana anasema anaogopa huku Vita, Njaa na hali mbaya ya kimazingira. Ilibidi waje wataalamu kadhaa wamweleze Africa ikoje.

Maana sisi kwetu ni mchanganyiko wa Mtanzania na Mzungu. Na tunatamani sana watu wetu waijue angaa kidogo Africa.

Sasa issue ipo kwenye hii meeting. Alikuwepo kiongozi mkubwa toka Kenya. Bila hata kupepesa macho alithubutu kusema wanajivunia sana kuwa na kijana kama mimi. Nlishtuka kidogo ila kwa heshima sikutaka kumkosoa in public. Na hii ilitokea akiwa anatoa shukrani yeye kualikwa maana ule Mkutano toka Africa tulikuwa Vijana wa3 tu. Mimi na mwingine toka SA na Egypt.

Nikasema hapa Wakenya wanataka kujichukulia sifa kupitia mimi. Maana kiukweli nilitema madini mpaka jamaa wengine 63 toka nchi mbalimbali Duniani walishindwa kuhimili. Wakasimama na kuanza kuimba kuwa wana imani sana na mimi.

Elon Musk mwenyewe alikuja kwangu akiomba nisign kwenye Autograph yake. Na akaniambia anikutanishe na wataalamu wake. Nikawaelezee sifa ya msichana ninayempenda anitengenezee robot special kabisa for me kwa ajili ya kuli date. Amenishauri sana.kuwa nisijaribu kuoa.wanawake wanaweza corrupt akili yangu. Na wengine wanaweza tu wakawa wanataka kuwa wana chakatwa na mtu mwenye akili nyingi na utajiri kama mimi.

Mimi nimetoka tu kwenye meeting zinakuja order watu wanataka niwauzie mbegu zangu.yaani either niwachakate au niwawekee kwenye vikopo maalum wakajipatie mimba.

Huyu Kiongozi Mkenya amekuja na mabinti watatu wazuri sana.anasema niwapime nijilie nitakavyo.nikasema hapana.inakuwa ngumu ratiba yangu inabana.ila nimemwambia alinikosea sana kusema mimi natokea Kenya na ni fahari kwao.

Watanzania tusiache kutumia akili.inalipa sana.wakati mnakaza kuwa chawa wenzenu wanakazana kuwa nyuki kuzalisha asali.msibweteke ndugu zanguni. Fanya kazi.hata kama unalipwa million 10 tu kwa mwezi fanya hivyo hivyo.huwezi jua utapata exposure kiasi
Lugano wamekutema tena kwenye mkeka wa walimu.
 
Back
Top Bottom