Watanzania mnajionaje?

Kiranga Michango yako huwa naiheshimu sana bro....

Heshima kwako....
 
We babu jamani Mungu azidi kukuweka tu
 
We jamaa bhana
 
Mkuu mimi kama nimejaribu kukielewa ulichotaka kitufikie lakini uwasilishaji wako kama haujawa mzuri sana maana hapa mtanzania umemuelezea kama mtu fulani hivi hajitambui au hajielewi. Imekosea.......
Vizuri kama umeelewa, nachotaka kusema ukweli hauvishwi nguo otherwise tunachelewa sana kwa kudhan ukweli usipova nguo ni udharilishaji. Ni mtazamo wako juu ya uwasilishaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…