TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
powa bwana Msando kila la heri bwana na ninakupromise kabla hujaondoka huu utawala dhalimu wa RA na EL wakiwa wamemuweka kijana mmoja mtanashati awafungulie milango ili waliibie taifa tutakuwa tushautoa madarakani, Mungu ni yule yule aliyemtokea Musa, kwenye kijiti cha moto na ni yule yule aliyewapa moyo wa ukakamavu vijana wa misri mpaka tapeli Mbaraka akakimbia, ni huyo huyo aliyetupa moyo mpaka tukalinda kura za wenje Mwanza
Naamini ni huyo huyo atatupa nguvu ya kuutoa utawala wa remote controlled nchini Mwetu, PEOPLE'S ........., power..........
Naamini ni huyo huyo atatupa nguvu ya kuutoa utawala wa remote controlled nchini Mwetu, PEOPLE'S ........., power..........