FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
FF ndio kusema kumbe watanzania walianza kufaidika na wamarekani toka zama hizo?
Its rather kufaidiwa. Soma history kabla hata hatujawa Tanzania na nani alikuwa behind ya sisi kuwa Tanzania, na mengi tu ambayo vijana wa wengi wa sasa hamjasomeshwa.
Kumbuka Zanzibar ilikuwa nchi ya kwanza Afrika kuwa na balozi kutoka Merekani (1833) na wanasema hivi:
"Zanzibaris and Americans have been friends for many, many years. America's official presence on Zanzibar goes back many years, to 1833 when a treaty between the United States and Oman provided for an American consular presence here – the first American consulate in Africa grew out of that. We have been trade partners with Zanzibar since the first American ships sailed here from across the oceans looking for whale oil to illuminate our city streets. Later, we brought cotton cloth and guns to trade for ivory and gum copal. Today, nearly 200 years later, we remain the largest purchasers of Zanzibari agriculture. As I mentioned to one of you tonight, it is not longer cloves that we are the largest purchasers of, but seaweed. "
Soma zaidi: United States Virtual Presence Post - Zanzibar, Tanzania - Remarks by U.S. Ambassador Mark Green at his Farewell Reception (January 8, 2009)