Tumesikia au tunawasikia sana viongozi wetu wakijinasibu kwa Uafrika, aidha utawasikia wakisema sisi Waafrika, yaani wanaona shida kubwa sana kusema sisi Watanzania au kwa Utanzania wetu bora hata Wa upande wa pili utawasikia wakisema sisi WaZanzibari au Uzanzibari wetu.
Viongozi hivi mnatafuta huruma maana msemo huu wa Sisi waAfrika hutumiaka hapa Tanzania tu, nikimaanisha kwenye mikutano yetu iwe ya kichama au ya kiTaifa.
Nimekuwepo nchi za magharibi na kaskazini ya Afrika, sijawasikia kutumia msemo huu wa sisi wa Afrika, wanatumia kiwao kwa mujibu wa jina la nchi, hawajiunganishi kama sisi hapa, yaani hata kwenye mikutano ya mitaani utawasikia sisi wanavijiji wa Afrika, sisi watu weusi hivi waafrika wote ni weusi?
Kasumba hii ni mbaya sana na inatudumaza na ndio ukaona hatuendelei tumebaki paleplae sisi ni waafrika kutawaliwa ndio asili yetu, ndio utamaduni tuliokulia nao hatuoni mbali tupo paleplae sisi ni Waafrika.
Embu viongozi badilikeni msitudumaze na kutuwekea miguu ya shingo mpaka tunashindwa kupumua ,sasa sisi si waafrika tena sisi ni Watanzania, huwasikii waPakistani wakisema sisi waAsia au wa bara hindi ni sisi wapakistani yaani nchi za mabara yote huzisikii wakijinasibu kwa bara lao kusema sisi wa ulaya au sisi wa marekani kusini nakadhalika.
Na humu Afrika ni sisi waTz tu tulio na hashuo la kujiita au kujinadi sisi waafrika, hivi ni aibu kusema sisi waTanzania? Jamani kila mtu anabeba mzigo wake, hatuwezi kuibeba Africa tutazidi kudumaa kuna waTunis, Wamisri wa Moroco wa Aljeria huwasikii kusema sisi waafrika viereje sisi tu tumekwama palepale sisi wafrika? Huu ni ushamba!
Viongozi hivi mnatafuta huruma maana msemo huu wa Sisi waAfrika hutumiaka hapa Tanzania tu, nikimaanisha kwenye mikutano yetu iwe ya kichama au ya kiTaifa.
Nimekuwepo nchi za magharibi na kaskazini ya Afrika, sijawasikia kutumia msemo huu wa sisi wa Afrika, wanatumia kiwao kwa mujibu wa jina la nchi, hawajiunganishi kama sisi hapa, yaani hata kwenye mikutano ya mitaani utawasikia sisi wanavijiji wa Afrika, sisi watu weusi hivi waafrika wote ni weusi?
Kasumba hii ni mbaya sana na inatudumaza na ndio ukaona hatuendelei tumebaki paleplae sisi ni waafrika kutawaliwa ndio asili yetu, ndio utamaduni tuliokulia nao hatuoni mbali tupo paleplae sisi ni Waafrika.
Embu viongozi badilikeni msitudumaze na kutuwekea miguu ya shingo mpaka tunashindwa kupumua ,sasa sisi si waafrika tena sisi ni Watanzania, huwasikii waPakistani wakisema sisi waAsia au wa bara hindi ni sisi wapakistani yaani nchi za mabara yote huzisikii wakijinasibu kwa bara lao kusema sisi wa ulaya au sisi wa marekani kusini nakadhalika.
Na humu Afrika ni sisi waTz tu tulio na hashuo la kujiita au kujinadi sisi waafrika, hivi ni aibu kusema sisi waTanzania? Jamani kila mtu anabeba mzigo wake, hatuwezi kuibeba Africa tutazidi kudumaa kuna waTunis, Wamisri wa Moroco wa Aljeria huwasikii kusema sisi waafrika viereje sisi tu tumekwama palepale sisi wafrika? Huu ni ushamba!