Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,220
9,647
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushtuka Sana video inayomuonesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyosaidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.

Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anadhani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anadhani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anadhani na sisi tutakuwa na madaktari binafsi?

Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubiri misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.

Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.

Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
 
JamiiForums-1203307710.jpg
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania
Haya mambo unayo yasemea hapa serikali yako ilipaswa iwe imeyafanya 20 years ago ikiwezekana 30 kabisa..

Leo hii mnahangaika na madarasa 60 yrs after independence..vyoo vya shule mnaomba ufadhili..madawati mpaka mpewe pesa za uviko.

Ni aibu na inasikitisha...maisha ya watanzania kila uchwao yanazidi kuwa magumu..graduates hawana tena matumaini na kesho yao.

Ila kwakuwa umeamua kujizima data ili utumike kama toilet pepa..sawa endelee nadhani ndugu na jamaa zako wote mnalamba asali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Narudia wewe ni mjinga kipeuo Cha pili

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulikua Zambia,kwa taarifa yako,pesa za uviko,zilijengea vyoo na madarasa na ziliwapa viongozi wa mama,baadhi yao kashfa ya kuzitafuna.
Tena spika Ndugai,alijiuzuru kiss alimwambia mama,nchi itawekwa rehani,kama anakopa kwa kasi kama hii.
Halafu,baadhi yetu wanyonge,tunafanya sahili mbalimbali,tukiwa tunasubiri placements, wenye koneksheni wanapigiwa simu,waende wakaripoti.
Nimeamua nikujuze machache,yanayoendelea hapa kwetu,hivyo nakuomba uzungumzie nafsi yako,kua unamkubali sana mama Na staili yake ya kuwaambia baadhi ya watanzania kua WALE KWA UREFU WA KAMBA ZAO,yaani walipo wale na amewaambia kua anajua kua wanakula.
Pia perdiem inepanda,amewasihi baadhi ya watu,wasigombanie SAFARI.
Ongea kwa nafsi yako,usinihusishe.
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Japo sio mfuasi wa mbowe, na sitarajii kuwa; ila neno mjinga sio tusi bali ni hali anayoweza kuwa nayo mtu kwa wakati fulani. Na endapo atakubali kupata uelewa basi hali hiyo huondoka. Mjinga kutokukubali ujinga wake kunasababisha awe zaidi ya mjinga yaani mpumbavu!

Mjinga ni mtu anayeweza kujifunza na kuondokana na ujinga wake.
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Kwani uongo?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Na wewe ndio Mjinga kiwango cha lami
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Kijambio cha mama hiki
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambona ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Anajitoa ufahamu tu mkuu,
Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom