Usalama wako mbona hata kwenye jiji la Bashite tu uko hatarini!Vp kuhusu suala la usalama huko????
Ova
Ni kweli kabisa babaangu. Huku wafanyabiashara wengi ni Ma Bwashee. Tangu wamesibiwa njia sao sa madili na wisi, wamedorora kwelii.Wanabodi,
Jana nimeandika kuhusu misaada ambayo Rais huiomba nje hasa kwa waafrika wenzetu ambapo ukipitia forum za mitandao ya hayo mataifa tunadharaulika na kunangwa sana, kwa wale wafanyabiashara au wawekezaji huwezi kuilinganisha biashara ya Juba, Bor, Yei, Rombek na miji mingine, huko kumekucha Tanzania kumedorora kibiashara na mzunguko haupo huo ndio ukweli.
Batishe mamakoSasa ulikuwa kikazi hapa tunajadiri biashara....mabashite utawaona tuu
Mkuu acha tu kwa style hii tutahamiaa hkoUsalama wako mbona hata kwenye jiji la Bashite tu uko hatarini!
Yeye kama anapotosha, mbona wewe hujasema huo ukweli?Mkuu nilikuwa Juba kikazi, acha kuwapotosha watu
Mkuu unitagnitaeleza baadae fursa za sudan kusini
Tag me pleasenitaeleza baadae fursa za sudan kusini
wapi tuna bofya ili kusubscribe mkuu... maana kuna mtu ana tishia kuleta nondo za fursa... sasa sijui zitakuwa kama zile za wale wazunguka mikoa na matamasha ya fursa....Subscribed
Mkuu nipe namba za huyo chaliinamjuaa chali mmoja wa arusha alikuwa anapeleka vyakula vya nafaka na mbogamboga ,kweli alitengeneza hela
ila baadae aliniambia alivamiwa na waasi akaporwa hela na kipigwa risasi mguuni,mtaji ukakata kabisa ila aliniambia fursa zipo nyingi hali ikitulia ataanza tena kwenda
pia aliniambia kuna watz walijiari kuendesha migahawa,biashara ndogo ndogo inalipa,na wengine expert kwenye telecom industry na international NGOS
nitag mkuunitaeleza baadae fursa za sudan kusini