‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

aCHA UONGO na ubishi.
ni ujima kuweka thread kutetea kitu bila kuweka Grobal accepted statistics.

Takwimu za WB zinaonyesha S/Sudan ni ya 186 wakati Tanzania ni ya 132.
Kuona mtu anauza maembe S/Sudan bei rahisi isikupe uharaka wa kuleta ubishi.
 
Good, kufanya biashara Juba ni good idea kuendana na aina ya biashara, capability ya mfanya biashara, experience maeneo hatarishi kama Juba etc

ila hata hapa Tanzania mtu unapiga pesa ukiwa makini regarding type of business me napiga pesa za kutosha daily na bado soko linanishinda satisfaction is beyond my capacity so inategemea.
 
Wanabodi.
Jana nimeandika kuhusu misaada ambayo Raisi huiomba nje hasa kwa waafrika wenzetu ambapo ukipitia forum za mitandao ya hayo mataifa tunadharaulika na kunangwa sana , kwa wale wafanyabiashara au wawekezaji huwezi kuilinganisha biashara ya juba, bor, yei , rombek na miji mingine , huko kumekucha tanzania kumedorora kibiashara na mzunguko haupo huo ndio ukweli.
Kikubwa unachotakiwa kufanya ni kukana uraia wa Tanzania ya magufuri na kuomba uraia wa sudani ili usiabike na maneno ya mtandaoni
 
How's the construction business in Juba?
 
Ni upuuzi kuandika South Sudan ipo vizuri kibiashara kuliko Tanzania. Wakenya wanakuja zaidi Tz kuliko wanavyoenda South Sudan. After all, hapa Tanzania kuna pesa nyingi zinazurura mitaani. Njoo tupige pesa huku.
 
3b5293569b0465a9feba0e974dca2e4f.jpg



mie nipo juba wakuu
hali ya usalama sio shwari sana ndio tatizo kubwa la huku
 
Nenda. Nani kakuzuia.
Kaibe na kukwepa kodi huko. Wakikushika utaletwa na huji
 
Good, kufanya biashara Juba ni good idea kuendana na aina ya biashara, capability ya mfanya biashara, experience maeneo hatarishi kama Juba etc

ila hata hapa Tanzania mtu unapiga pesa ukiwa makini regarding type of business me napiga pesa za kutosha daily na bado soko linanishinda satisfaction is beyond my capacity so inategemea.


"...na bado soko linanishinda satisfaction is beyond my capacity... "

Mkuu nadhani hapo ulimaanisha 'demand' is beyond your capacity. Not 'satisfaction'.

BTW... tupeane hiyo michongo mkuu.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom