ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
hiyo fursa tuambiane wote jamani has aupande wa kupeleka mbogamboga huko au nafaka
High risk more money.Sifieni amani tu huku mkiwa mnakufa kwa njaa na ufukarausalama mhhh, juzijuzi mkenya kapigwa risasi kule tena mwalimu wa nursery school maskini eti sijui hakusimama wakati bendera inapandishwa, mie nilikuwa interested saana sana lakini usalama kwanza!