Watano wapanda kizimbani kwa kuwakejeli wasukuma

Watano wapanda kizimbani kwa kuwakejeli wasukuma

Nani aliyefungua Kesi ya Ajabu hii maana sioni Tatizo la Utani ila nashangaa Utani kugeuka Kesi.... na Mbona yashatokea Sana watu wa Village kushangazwa na Mambo ya Town? inamaana Mtu Asicheke? Raisi Magufuli alitamka idadi za Wanyama Tanzania Akasema Iringa ina Mbwa kadhaa Watu Wakacheka... Naiomba Serikali iwafutia makosa Wananchi walioshitakiwa... WASUKUMA wao kitu wasichokijua huita Mashikolo Mageni... Waswahili hutafsiri ni Ushamba na ndio Fact yenyewe... Tusiipeleke nchi hivi... Tushasikia watu wakila Ugali kwa Picha ya Samaki, Kesi ya Kuku anauzwa Ng'ombe ili mtu ashinde kesi kwa kuhire Wanasheria wamsaidie, tushasikia Basi limekamatwa Dereva anaulizwa idadi wa watu aliowapakia anataka na kusema mmoja kabila fulani kama huyo mmoja sio Mtu n.k n.k hakuna aliyewahi kukasirika iweje sasa hizi Sheria zitu
 
Hawa walizidisha ikiruhusiwa iendelee namna hii ya kutengeneza msukuma kaweka fone puani badala ya sikioni si sawa naona wasukuma wanaweza kujibu mapigo,
hali kadharika makabila mengine tutakuwa tunatengeneza ukabila
Bora wafungwe ili wengine waogope.
 
Bwegee wewew usipomtaja bwana wenu LOWASSA KWAUBAYA AMJISIKII

EMBU MWACHIEN
 
Tehe tehe huo ni utani tu Mbona wachagga wanataniwa mpaka kwenye TV kwenye siasa ndio usiseme kipindi cha uchaguzi kulikuwa na ubaguzi wa kila aina kwenye mitandao hakuna aliyekamatwa
 
Kama kuna kesi kama hiyo nchi itakuwa na viongozi wa hovyo maana utani wa makabila ni jambo la kawaida sana na ndo linaleta umoja wetu.
 
picha zenyewe ziko wapi?hebu weka hata moja tuone
 
Hamna kesi hapo kama kuna wazaramo au waseme wao wana unasaba na wazaramu na watani zao wasukuma..
 
kwa jinsi ninavyowajua mlivyo wambea kama kweli Kikwete angekuwa ufisadi hamna rangi angeacha kuiona kutoka kwako na hao mbwa wenzako.
magufuli alisema 'hao wengine mwenyez MUNGU atawalipa' teh! jipu la msoga hilo
 
WANAO WAKEJELI WASUKUMA WAPANDA KIZIMBANI.


Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Leo 16 January chini ya kifungu cha sheria 26,27.B ya mwaka 2015
kuhusu makosa ya matumizi mabaya ya mtandao imewapandisha kizimbani mahakama ya mkazi kisutu watu watano ambao ni John Emanueli kimaro,Husna mohamed,Peter maiko mushi,Obadia James onyango,Na Swai emagodi Swai.

Wote wakazi wa jiji la dar es saalam kwa kosa la kutengeneza picha za kejeri na matusi kwa kabila la Wasukuma na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii kimakosa na kinyume cha sheria za matumizi ya mtandao, washitakiwa wamekana mashitaka, na kurudishwa rumande mpaka tarehe 23-1-2016 kesi itakapo tangazwa tena.
Habari ya kutunga hii
 
WANAO WAKEJELI WASUKUMA WAPANDA KIZIMBANI.


Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Leo 16 January chini ya kifungu cha sheria 26,27.B ya mwaka 2015
kuhusu makosa ya matumizi mabaya ya mtandao imewapandisha kizimbani mahakama ya mkazi kisutu watu watano ambao ni John Emanueli kimaro,Husna mohamed,Peter maiko mushi,Obadia James onyango,Na Swai emagodi Swai.

Wote wakazi wa jiji la dar es saalam kwa kosa la kutengeneza picha za kejeri na matusi kwa kabila la Wasukuma na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii kimakosa na kinyume cha sheria za matumizi ya mtandao, washitakiwa wamekana mashitaka, na kurudishwa rumande mpaka tarehe 23-1-2016 kesi itakapo tangazwa tena.
Kama ni kweli hawa TCRA sasa wameanza kufanya kazi ambazo hazina tija. Mambo mengine ni ya utani kati ya makabila na huwa ni burudani na huelimisha yanapofanyika. Kama hakuna mtu binafsi aliyelalamika kuudhiwa na huo utani kama yeye binafsi ndiye aliyetaniwa hapo sawa lakini vinginevyo ni kuingilia mahusiano ya jamii. Mimi nimezoea kuwatania wangoni kwa kuwaita: Bombii, nyumbiii kwa hiyo na mimi nitashitakiwa? Kuna utani wa mtu na mtu, kabila na kabila, timu na timu kama vile Simba na Yanga sasa hapo watakamata wangapi?
 
Kwanza Wasukuma ni nini? Hizo picha zimewaathiri vipi wasukuma? Nani mlalamikaji?
 
WANAO WAKEJELI WASUKUMA WAPANDA KIZIMBANI.


Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Leo 16 January chini ya kifungu cha sheria 26,27.B ya mwaka 2015
kuhusu makosa ya matumizi mabaya ya mtandao imewapandisha kizimbani mahakama ya mkazi kisutu watu watano ambao ni John Emanueli kimaro,Husna mohamed,Peter maiko mushi,Obadia James onyango,Na Swai emagodi Swai.

Wote wakazi wa jiji la dar es saalam kwa kosa la kutengeneza picha za kejeri na matusi kwa kabila la Wasukuma na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii kimakosa na kinyume cha sheria za matumizi ya mtandao, washitakiwa wamekana mashitaka, na kurudishwa rumande mpaka tarehe 23-1-2016 kesi itakapo tangazwa tena.
Kesi ya kipumbafu kabisa.
 
Utani wa makabila unakubalika na Common laws zeto....
 
Back
Top Bottom