Watano wapanda kizimbani kwa kuwakejeli wasukuma

Watano wapanda kizimbani kwa kuwakejeli wasukuma

Wasukuma tunapenda sana utani aisee...lazima niwawekee zamana ili watoke.
Mkuu, kwa habari nilizozipata kutoka ndani zaidi, kuna wanasheria maarufu hapa nchini wamejaribu kuwawekea dhamana lkn juhudi zikagonga mamba, kutokana na uzito wa mashitaka yanayowakabili hawa ndugu.
 
Mkuu, kwa habari nilizozipata kutoka ndani zaidi, kuna wanasheria maarufu hapa nchini wamejaribu kuwawekea dhamana lkn juhudi zikagonga mamba, kutokana na uzito wa mashitaka yanayowakabili hawa ndugu.
Taarifa hii ni kweli mkuu?
 
Sioni kama ni kesi ya msingi ikiwa kuna mambo yanayotakiwa kushughulikiwa tena kw aquaharaka zaidi ya hilo.Hata hivyo nani aliyelalamika kwa kushalilishwa,au sheria yenyewe inasema nini tukumbushane
 
magufuli alisema 'hao wengine mwenyez MUNGU atawalipa' teh! jipu la msoga hilo
kwani mkapa wakati anajiuzia kiwira na kuuza NBC, NMB, tanesco, meremeta, mwananchi gold, epa scandal, radar scandal, ndege ya rais, magari ya jeshi na mengineyo mengi Kikwete alimfanya nini? lakini mbona yaliandikwa tukajua? kinachowashinda kuandika ya Kikwete ni nini hasa? tupeni fact tuungane wote kumshambulia Kikwete kama tulivyofanya kwa mkapa kama ni kweli katufanyia ufisadi. badala ya kuja na facts mmebaki wambea tu. hovyo kabisa.
 
Kuna chuki inajengwa kati ya watu wa kanda ya ziwa na kaskazini.kuna afisa mwenzangu mkurya anachuki na wachaga balaa,alikuwa mwanangu sana,ila nilipoona hiyo chuki nimempuuza na hata yeye anaona mikausho yangu
 
Back
Top Bottom