Mkuu,Mimi Msukuma hapa, kesi hii ni ya kipuuzi na kinyume cha spirit ya utani ya Wasukuma qanaojua mila na utamaduni wa Kisukuma.
Wasukuma ni watani wa kila mtu.Mkuu,
Wasukuma watani zenu huwa ni Wachaga!???
Aaaaaah!!! Basi sawa. Hata hiyo kusimamishwa kizimbani na kurudishwa rumande labda ni muendelezo wa utani tu.Wasukuma ni watani wa kila mtu.
Ndio wameshaanza utani sasa hamna namnaMkuu,
Wasukuma watani zenu huwa ni Wachaga!???
Hata mimi naona. Utani mwingine huu!Aaaaaah!!! Basi sawa. Hata hiyo kusimamishwa kizimbani na kurudishwa rumande labda ni muendelezo wa utani tu.
Msukuma mtani wa kila mtuWachaga wana utani na wasukuma?
kwa jinsi ninavyowajua mlivyo wambea kama kweli Kikwete angekuwa ufisadi hamna rangi angeacha kuiona kutoka kwako na hao mbwa wenzako.fisadi yuko zake msoga anakula kiyoyozi tu
Hakuna kesi hapo kwakua mila za kitanzania zinaruhusu utani wa kimkabilaMbona kesi ya kijinga sana hiyo? Kwani sisi wenyewe tumelalamika kokote? Mbona sisi wenyewe tunapenda utani na kila mtu? Mbona Magufuli alipiga push up mbele za watu (huo si ulikuwa utani)? Wawaachie huru hao washikaji sisi hatuna shida na mtu, ila dada zao habari ya Wasukuma wanaijua!!