Watangazaji wetu na neno 'Amazing'

Watangazaji wetu na neno 'Amazing'

King Kong III

Platinum Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
62,679
Reaction score
94,579
Umofia kwenu wana JF,

Ukifungua redio hizi zetu yani kila mtangazaji akiongea neno moja la pili basi ni Amazing. Utasikia "Leo kuna kimvua flan hiv na kibaridi amazing", au "Wimbo wako nimeuelewa una mistari flani hiv amazing".

Hivi hakuna neno mbadala la kiswahili linaloendana na hiyo lugha ya kigeni? Wengine wanaliweka hata pasipostahili..
 
Huyo ni B dozens na Dj Fetty, usimung'unye maneno.
Na wana influence kubwa sana ktk kutengeneza misemo isi na maana ktk lugha.
Ushauri ni kutoiga ujinga huo.
 
Amazing,amazing,amazing,Amazing...yaani So amazing flan hvi.
 
Aisee post yko n amazing ina maneno flani amazing n uwe n cku Amazing
 
i hate that word
Ahgrrrr ptuuuuuuyuyy


na wewe hiyo redio unadikiliza kipindi gani????
machokoraa hao hata hawaelimishi jamiii hata theluthi moja
ni maneno mabaya tu nakujifanya wana impower music and musician but is nah that way ...........
 
i hate that word
Ahgrrrr ptuuuuuuyuyy


na wewe hiyo redio unadikiliza kipindi gani????
machokoraa hao hata hawaelimishi jamiii hata theluthi moja
ni maneno mabaya tu nakujifanya wana impower music and musician but is nah that way ...........

ha ha ha haa.., amazing.
 
Muasisi wa hili neno ni Diamond kwenye video clip yake ipo Ig.
 
King Kong III

Binafsi sijalisikia hili neno likitumika na watangazaji.Ila kwa mifano uliyotoa inaashiria kwamba neno hili linaingizwa kwenye matumizi mapya katika lugha ya kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
you-r-amazing.jpg
 
i hate that word
Ahgrrrr ptuuuuuuyuyy


na wewe hiyo redio unadikiliza kipindi gani????
machokoraa hao hata hawaelimishi jamiii hata theluthi moja
ni maneno mabaya tu nakujifanya wana impower music and musician but is nah that way ...........

Yaan una hasira flani hivi amazing, za kishkwambi.
 
acha lugha yetu ikue, kiswahili kina mchanganyiko flan amazing wa lugha mbalimbali
 
Jana nimempiga shemeji yenu kabao flani hivi amaizing dah
 
Back
Top Bottom