Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 579
- 367
Hahahahaha Itabidi Kuhailishe Tupange Siku Nyingine.
Muahirishe kufanya nini? Mnaonekana kama mmetoka nje ya mada vile? Au ni mada ndani ya mada?
Hahahahaha Itabidi Kuhailishe Tupange Siku Nyingine.
Mkandara
Sijakuelewa vizuri. Kwa mtazamo wako unaonelea turudi kwenye ujamaa au unaona tumeshafanya makosa. Kwa ushauri wako. What should we do? Navyojua mimi sisi hatukuingia kwenye ubepari kwa kupenda. Ukiniambia tumefanya makosa katika utekelezaji wa sera ya kibepari hapo nitakubaliana na wewe. Sababu za makosa zinajulikana ikiwa ni pamoja na urafi wa baadhi ya watu waliopewa madaraka pamoja na elimu duni ya ubepari na misingi yake.
radio free africa,mthe sound of africa, kati ya radio zangu bora kabisa, angalia vipindi vyao.
si hao wengine saa12-4, PB, 4-7, leo tena, 7-10, xxl, 10-1 jahazi, 1-3 amplifer, kila siku hivyo hivyo tu bire kabisa.
Kweli kabisa hhasa kuweka picha za ajabu ajabu kwenye kurasa za mbele alafu wanajidai wanafichua maovu wakati hizo picha watu walipiga faragha hivyo busara ni kutoziweka kwenye magazetu yao maana watoto hawaangalii lengo la kuandika hiyo habari wao wana-base kwenye picha. (kama walivyofanya polisi kwa kuwadhibiti waliokuwa wanapigana denda lakini hata yule aliesambaza mitandaoni nae akala kibano)Na upuuzi mwingi unaoandikwa na magazeti ya udaku nayo yachukuliwe hatua
Una shughuli gani hapa mjini hadi unapata muda wa kusikiziliza upuuzi mwingi hivi? Au bado unagombania maandazi na wadogo zako?
Una shughuli gani hapa mjini hadi unapata muda wa kusikiziliza upuuzi mwingi hivi? Au bado unagombania maandazi na wadogo zako?
Walisema watakisimamisha
Na upuuzi mwingi unaoandikwa na magazeti ya udaku nayo yachukuliwe hatua
walitoa tamko kabisa gazetin
Nao hawa TcRa full Magumashi walisema wamekisimamisha kipindi cha XXL lakin hadi kesho kutwa kinasikika hewani....
dida ndo kila kitu anawashika mbaya wamama wa mjin
saa sita ngiiiiiii
kitu kimeanza DAR NZIMA
MI dida namkubali mwanamke kujiamini
ha ha ha,haya mwisho wa kipindi wanajifunza nin???
Siwaelewi kabisa.
Ova
Tamko lilisema watasimamisha endapo wataendelea
Tamko lilisema watasimamisha endapo wataendelea
Naona hukusomaga hiyo taarifa.... nimekuwekea hapo
Hapo ndo wanapaweza,hii mizizki inasikilizwa sana uswahilini,Magomeni,mwananyamala,Temeke,Mbagara,Vingunguti(Watuma sms wengi ndo wa maeneo hayo),na ndo kwenye maneno ya shombo mengi huko,na vigodoroWanajifunza kujiamini hadi kujiogopa, kuwa miss Independent....Kutoogopa kuachana...kama ndoa zipo mtu anaweza kuolewa hata kumi...haina kung'ang'aniana kama roho...
Na maneno ya shombo yoteee....!
Ndo nlichotaka ukilete