Wanajifunza kujiamini hadi kujiogopa, kuwa miss Independent....Kutoogopa kuachana...kama ndoa zipo mtu anaweza kuolewa hata kumi...haina kung'ang'aniana kama roho...
Na maneno ya shombo yoteee....!
Ukakasi huu...
Wanajifunza kujiamini hadi kujiogopa, kuwa miss Independent....Kutoogopa kuachana...kama ndoa zipo mtu anaweza kuolewa hata kumi...haina kung'ang'aniana kama roho...
Na maneno ya shombo yoteee....!
Sana tuu...mwanamke kujiamini, anaishi maisha yake, Mtu akizingua tupa kulee kwani sh ngapi?
Yani katika watanzania Milioni arobaini ukose mwingineee??? Soon itakuja ndoa ya nne...
Ukakasi huu...
Hahahaaa...sasa mtangazaji ana ndoa tatu, ya mwisho kaachwa kwa talaka tatu...unadhani watu wanajifunza nini hapo....
Umejifunza kuwa na ndoa tatu...si bure!