Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,886
Kitu ambacho huwa kinanikera ni uvaaji wa nguo wa baadhi ya watangazaji kwenye TV.
Kuna baadhi ya watangazaji wanatia kinyaa uvaaji wa nguo zao. Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC yaani yuletangazaji wa kike alikiwa amevaa hovyo kweli. Makeup hazijakaa fresh kabisa.
Hivi huwa hakuna washauri mpaka mtu anatokea kwenye public?
Kwa kweli watangazaji jitahidini kuvaa nguo vizuri. Kwani ku match guo mbona simple tu?
Yangu hayo tu.
Kuna baadhi ya watangazaji wanatia kinyaa uvaaji wa nguo zao. Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC yaani yuletangazaji wa kike alikiwa amevaa hovyo kweli. Makeup hazijakaa fresh kabisa.
Hivi huwa hakuna washauri mpaka mtu anatokea kwenye public?
Kwa kweli watangazaji jitahidini kuvaa nguo vizuri. Kwani ku match guo mbona simple tu?
Yangu hayo tu.