Watangazaji wa 360 Clouds tv kama hamtojali nitaomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo...

Mkuu hizo alama za funga na fungua semi zina haribu maandiko yako sana, maana unaziweka kwenye maneno mengi sana kwenye sentensi moja.
Jaribu kuzipunguza ili maandiko yaonekane vizuri na yenye kuvutia.
nasisitiza hapa,yani zinakera sana. Unakuta ana hoja nzuri ili ukifikiria hizo alama unaona hata uvivu kusoma
 
Brother hii misumari yako ni ya moto sana.
 
Kama ambavyo mleta mada hapa kiswahili kimemgonga kweli. Inabidi uitengeneze mwenyewe habari ili kuelewa anacho maanisha. We all lack when it comes to languages.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali nisaidie kujua, hivi wewe ni ke au me?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo mleta mada hapa kiswahili kimemgonga kweli. Inabidi uitengeneze mwenyewe habari ili kuelewa anacho maanisha. We all lack when it comes to languages.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika lugha kuna kuongea na kuandika unaweza ukawa unajua kimoja zaidi kingine
lakini tunatumia keypad kuandika wakati mwingine hatupitii tulichoandika kwa hiyo makosa kama hayo msomaji unasahihisha mwenyewe tu
 
Katika lugha kuna kuongea na kuandika unaweza ukawa unajua kimoja zaidi kingine
lakini tunatumia keypad kuandika wakati mwingine hatupitii tulichoandika kwa hiyo makosa kama hayo msomaji unasahihisha mwenyewe tu
Primary school tulifundishwa kusoma na kuandika. Yote yanawakilisha uelewa wa lugha. Asione kibanzi kwenye jicho la mwenzie wakati yeye ana boriti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…