Watamjibu na Askofu Gwajima?

Watamjibu na Askofu Gwajima?

Nilikuwa kila siku ninajiuliza na kushangaa sana, kwamba, huko CCM hakuna kabisa mwenye busara na uzalendo, mwenye ujasiri wa kukemea haya?

Wote wachumia tumbo waoga? Wanaiacha kabisa nchi yetu iwe nchi ya utekaji na mauaji!?

Hatimae sasa, wameanza kujitokeza.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Gwajima.
yaani uropokaji, porojo na story za pata potea kwa mtu aliepoteza uelekeo wa kisiasa ndio kukemea, right gentleman?🐒
 
yaani uropokaji, porojo na story za pata potea kwa mtu aliepoteza uelekeo wa kisiasa ndio kukemea, right gentleman?🐒
Wewe unachojali ni uelekeo wa kisiasa tu, hujali hata kama watanzania watatekwa na kuuawa.
 
Wakenya wanatutukana kinomanoma yaan ukiingia YouTube tunatutukana kisengeee, yaan dah ndio maana Gwajiboi kasogea front maana sio kwa ile mitusi ya Wakenya, eti sisi elimu yetu ni upuuzi? Watanzania ni Wajinga?
Ukiuliza kuwa 'Watanzania ni wajinga' unakosea mkuu!
Watu hulichukulia neno 'ujinga' kama ni upumbaf alionao mtu, huchukulia kuwa ni tusi.

Pia, ujinga ni kama wehu, mwehu huwa hajitambui na akielezwa na watu kuwa yeye ni mwehu hulalamika sana na kuubishia ukweli .
 
Hata wajibu vipi sisi tumeshajua genge la watekaji na wauaji wakosoaji ni genge la Rais mwenyewe.
 
Pamoja sana mwana💪🏿✌🏿📌🔨
Wameshamjibu
IMG-20250525-WA0051.jpg
 
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!

Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la kuwatoa watu kwenye reli. Wameshafanya hivyo mara kadhaa kwa wazee wa Taifa: Jaji Joseph Sinde Waorioba na Mzee Butiku Nyerere!

Sasa safari hii kimeongea chuma kisichohofia mashambulizi. Ukilianzisha yeye analimaliza!

"Machawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?
Hili picha tamu sana tunasubiri maana gwaji boy siyo mtu wa mchezo mchezo
 
Gentleman,
huyo kaisha lambwa na wanainchi wa kawe na CCM hatoboi kura za maoni huku moyoni mwake bado akiwa na hamu na anatamani kua mtumishi wa wana kawe. But ground imemkataa, sasa anajaribu kutafuta kiki, sababu ya kutokea CCM na public sympathy, kitu ambacho hakiwezi kabisa kumnusuru.
In fact Gwajima anaweza kua ni g56 na sio g55.

Kuhusu List na evidence uchwara hata mwenyekiti wa Chadema aliemaliza muda wake aliwahi kutoa, ilisaidia nini? Kulikuepo na List if shame ya akina mzee Lowasa ilisaidia nini? It's useless and nonsense.

kwani si hata wewe na mTanzania mwingine yeyote anaweza kuandaa list na evidence uchwara kadiri apendavyo kuvutia public attention na sympathy?

Gwajima kasense rejection ya wananchi wa kawe na kwamba hakuna dalili za mbeleko na sasa anaweweseka na kutapatapa asione la kufanya wala pakujificha 🐒
Dah siamini kukutana na coment ya namna hii…ar u mad?
 
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!

Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la kuwatoa watu kwenye reli. Wameshafanya hivyo mara kadhaa kwa wazee wa Taifa: Jaji Joseph Sinde Waorioba na Mzee Butiku Nyerere!

Sasa safari hii kimeongea chuma kisichohofia mashambulizi. Ukilianzisha yeye analimaliza!

"Machawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?
Kwamba wakisema fyooo tu atachomoa betri🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom