DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,367
- 3,457
Jikite kwenye mada itasaidia kuonesha huna changamoto za afya akiliHiv ile helcopter yake bado anayo?
Jikite kwenye mada itasaidia kuonesha huna changamoto za afya akiliHiv ile helcopter yake bado anayo?
Youtube huko wanatukana kuanzia Rais mpaka mtoto wa Chekechea yaan mpaka mtoto anaezaliwa leo km amezaliwa Tanzania basi wote Wajinga,
View: https://m.youtube.com/watch?v=jSpzb9GaDJI
Na huko kwingine wanaitangaza timu yetu kwa nguvu zote nahisi kuna jambo haliko sawaNimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!
Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la kuwatoa watu kwenye reli. Wameshafanya hivyo mara kadhaa kwa wazee wa Taifa: Jaji Joseph Sinde Waorioba na Mzee Butiku Nyerere!
Sasa safari hii kimeongea chuma kisichohofia mashambulizi. Ukilianzisha yeye analimaliza!
"Machawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?
You always put your foot in your mouth?daima,
hotuba ya gwajima,
ni hulka ya mtu asie na shukran, aliesense kutokukubalika na kutokuaminika tena kwa wananchi huuu nafsi yake ikitamani kuendelea kuwatumikia wananchi, lakini ndio hivyo tena hakuna namna, anatafuta pa kutokea na kujaribu kuwin support na public sympathy ya kakundi kadogo tu ambako kwa kawaida huwa kana kanajifanya kako sahihi sana mitandaoni na hakapo kabisa field.
Kiufupi,
this is the end of gwajima kawe politics. Na hakuna mbeleko ya kumbeba safari hii🐒
Wewe unajicho la tatuKwa uozo wa CCM usistaajabu ikiwa Gwajma katumwa ku neutralize mambo.
We chawa helicopter inahusika vipi hapa?!🤔Hiv ile helcopter yake bado anayo?
Nina wasi wasi mtoa ujumbe huu wewe utakuwa ni Alima Mdee. Gwajima kakosea wapi mkuu? Kusema vyombo vya ulinzi hasa usalama wa taifa wasiwe wanafukuzwa hovyo ajira yao ilindwe ilo ni kosa?daima,
hotuba ya gwajima,
ni hulka ya mtu asie na shukran, aliesense kutokukubalika na kutokuaminika tena kwa wananchi huuu nafsi yake ikitamani kuendelea kuwatumikia wananchi, lakini ndio hivyo tena hakuna namna, anatafuta pa kutokea na kujaribu kuwin support na public sympathy ya kakundi kadogo tu ambako kwa kawaida huwa kana kanajifanya kako sahihi sana mitandaoni na hakapo kabisa field.
Kiufupi,
this is the end of gwajima kawe politics. Na hakuna mbeleko ya kumbeba safari hii🐒
Wote wenye akili timamu wanajua,nani anafanya maovu hayo,utekaji, utesaji na mauaji ya wakosoaji yanafanyika kisiasa sasa haihitaji elimu kubwa kujua nani ni mnufaika wamauaji hayo na ndiye muuaji mwenyewe, majibu kama vile kifo ni kifo tu ndiyo yanapigia mstari kabisa nani anawatuma wauaji. Alichofanya Gwajima ni kuvaa ujasiri wa kuusema ukweli ambao wote tunaufamu.Watanzania ni Wajinga? Mpaka leo Watanzania hawajui wanaowateka watu na kuwapoteza ni wakina huu sio Ujinga huu?
Huyo siyo Gentleman,she is a madamGentleman,
GWAJIMA hayupo kwenye level za kulamba matapishi.
Gentleman pengine wewe umeamua kujitoa ufahamu Mbona GWAJIMA katoka na evidence 🧾 Tena list ndefuu TU ya watu mbali mbali walio potea na wengine kutekwa na kupigwa / vunjwa na kutekelezwa/ kutupwa maporini..
Gentleman pengine wewe mpaka yaje yakukute Yale YALIYO MTOA KANGA MANYOYA SHINGONI NDIPO UTAELEWA""
MBONA LOGIC NI NDOGO TU MBONA UNAKUA MPOFU..WAKATI MWINGINE TUACHE SIASA ZETU TUANGALIE MUSTAKABARI WA TAIFA LETU KWA MFANO AKITEKWA MKEO AU MTOTO, BABA, MAMA AMA YEYOTE ANAE KUHUSU NDIPO UTAPATA MAUMIVU.
NI BORA NDUGU YAKO AWE MAHABUSU AMA GEREZANI NA HATA HOSPITAL AMA UUPATE HATA MWILI WAKE MKA USTILI KULIKO KUPOTEZWA KWA KUTEKWA NA WASIOJULIKANA
relax gentleman,Nina wasi wasi mtoa ujumbe huu wewe utakuwa ni Alima Mdee. Gwajima kakosea wapi mkuu? Kusema vyombo vya ulinzi hasa usalama wa taifa wasiwe wanafukuzwa hovyo ajira yao ilindwe ilo ni kosa?
Kwani mtu wa usalama wa taifa si binadamu kama sisi? Hana moyo wa kuumia, hana familia? Haumwi, hawezi kupata magonjwa ya moyo na kusukari?. Kazi zao ni kubwa na kwa ukubwa ule ni muhim ajira zao zikalindwa. Yuko sahihi kabisa.
Kusema majehi yetu walipwe vizuri zaidi ni kosa??
Unafikiri Gwagima bila ubunge hawezi kuishi? Unafikiri gwajima mpaka kajilipua hivyo hajui madhara yake? Ni wazi kuwa yuko tayari kwa lolote. Mm nataman wamjibu ili aje tena amwage mengi zaidi.
calm down,You always put your foot in your mouth?
🤓Huyo siyo Gentleman,she is a madam
Watafungia kanisa lake very soon, watawatumia wale mashehe ubwabwa kumjibu kwa kupayukaMachawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?
Kama bado wapoNgoja waje wafia chama
Mbona wapo kibaoKama bado wapo
Nikupe taarifa TU kua ASKOFU GWAJIMA ameweza kujenga MEGA CHURCH (TAASISI IMARA YA UFUFUO NA UZIMA) KILA WILAYA TANZANIA HII KUNA KANISA LAKE LA UFUFUO NA UZIMA.Watafungia kanisa lake very soon, watawatumia wale mashehe ubwabwa kumjibu kwa kupayuka
Wauwaji kina mililo wameshiba pesa za maujiNimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!
Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la kuwatoa watu kwenye reli. Wameshafanya hivyo mara kadhaa kwa wazee wa Taifa: Jaji Joseph Sinde Waorioba na Mzee Butiku Nyerere!
Sasa safari hii kimeongea chuma kisichohofia mashambulizi. Ukilianzisha yeye analimaliza!
"Machawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?