GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,844
- Thread starter
- #61
Hivi kuna asiyejua?Watanzania ni Wajinga? Mpaka leo Watanzania hawajui wanaowateka watu na kuwapoteza ni wakina huu sio Ujinga huu?
Hivi kuna asiyejua?Watanzania ni Wajinga? Mpaka leo Watanzania hawajui wanaowateka watu na kuwapoteza ni wakina huu sio Ujinga huu?
Mkuu uliishia la ngapi? Samahani lakini🙏daima,
hotuba ya gwajima,
ni hulka ya mtu asie na shukran, aliesense kutokukubalika na kutokuaminika tena kwa wananchi huuu nafsi yake ikitamani kuendelea kuwatumikia wananchi, lakini ndio hivyo tena hakuna namna, anatafuta pa kutokea na kujaribu kuwin support na public sympathy ya kakundi kadogo tu ambako kwa kawaida huwa kana kanajifanya kako sahihi sana mitandaoni na hakapo kabisa field.
Kiufupi,
this is the end of gwajima kawe politics. Na hakuna mbeleko ya kumbeba safari hii🐒
Ukiona ametoka hadharani, ujue ameshausoma mchezo wote mwanzo mpaka mwisho. Ana majibu yote yanayohitajika!DAKIKA 90's zitaamua na for sure 😃 😊 hakuna alie wai ku battle na ASKOFU GWAJIMA na akatoka salama reference zipo nyingi.
Ni Jambo la muda...Time is the best teacher.
#YANGUMACHO
zimwi likujualo halikuli likakwisha.Mkuu uliishia la ngapi? Samahani lakini🙏
Naelewa mkuu, ila mimi nilimaanisha ile ya kwenye makatasi! Umeshatunukiwa cheti cho chote?zimwi likujualo halikuli likakwisha.
elimu haina mwisho gentleman 🐒
Nilikuwa kila siku ninajiuliza na kushangaa sana, kwamba, huko CCM hakuna kabisa mwenye busara na uzalendo, mwenye ujasiri wa kukemea haya?daima,
hotuba ya gwajima,
ni hulka ya mtu asie na shukran, aliesense kutokukubalika na kutokuaminika tena kwa wananchi huuu nafsi yake ikitamani kuendelea kuwatumikia wananchi, lakini ndio hivyo tena hakuna namna, anatafuta pa kutokea na kujaribu kuwin support na public sympathy ya kakundi kadogo tu ambako kwa kawaida huwa kana kanajifanya kako sahihi sana mitandaoni na hakapo kabisa field.
Kiufupi,
this is the end of gwajima kawe politics. Na hakuna mbeleko ya kumbeba safari hii🐒
Gwajima anafaa kuwa Rais na siyo mwakilishi wa watu wachache kama Kawe!Gentleman,
huyo kaisha lambwa na wanainchi wa kawe na CCM hatoboi kura za maoni huku moyoni mwake bado akiwa na hamu na anatamani kua mtumishi wa wana kawe. But ground imemkataa, sasa anajaribu kutafuta kiki, sababu ya kutokea CCM na public sympathy, kitu ambacho hakiwezi kabisa kumnusuru.
In fact Gwajima anaweza kua ni g56 na sio g55.
Kuhusu List na evidence uchwara hata mwenyekiti wa Chadema aliemaliza muda wake aliwahi kutoa, ilisaidia nini? Kulikuepo na List if shame ya akina mzee Lowasa ilisaidia nini? It's useless and nonsense.
kwani si hata wewe na mTanzania mwingine yeyote anaweza kuandaa list na evidence uchwara kadiri apendavyo kuvutia public attention na sympathy?
Gwajima kasense rejection ya wananchi wa kawe na kwamba hakuna dalili za mbeleko na sasa anaweweseka na kutapatapa asione la kufanya wala pakujificha 🐒
Wapo wachache! Kabla ya Gwajima, walikuwepo wazee wawili: JAJI WARIOBA na Mzee Butiku!Nilikuwa kila siku ninajiuliza na kushangaa sana, kwamba, huko CCM hakuna kabisa mwenye busara na uzalendo, mwenye ujasiri wa kukemea haya?
Wote wachumia tumbo waoga? Wanaiacha kabisa nchi yetu iwe nchi ya utekaji na mauaji!?
Hatimae sasa, wameanza kujitokeza.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki Gwajima.
Ulimbishia mzee Butiku!relax gentleman,
ukweli ni kwamba hayo ni mapigo ya mwisho ya kupotea kwa Gwajima nani ya siasa za CCM na siasa Tanazania kwa ujumla baada ya kuthibitisha kwamba wananchi hawamuelewi na hakuna mbeleko this time around 🐒
Kama lilimshinda Makonda hawa waliobaki hawataweza hata kidogo!Watafungia kanisa lake very soon, watawatumia wale mashehe ubwabwa kumjibu kwa kupayuka
Gwajima ameshaona hatapewa tena hiyo nafasi ya Ubunge, so ameamua kumwaga mboga, mfumo utamshugulikia ki sayansi muda ukifikadaima,
hotuba ya gwajima,
ni hulka ya mtu asie na shukran, aliesense kutokukubalika na kutokuaminika tena kwa wananchi huuu nafsi yake ikitamani kuendelea kuwatumikia wananchi, lakini ndio hivyo tena hakuna namna, anatafuta pa kutokea na kujaribu kuwin support na public sympathy ya kakundi kadogo tu ambako kwa kawaida huwa kana kanajifanya kako sahihi sana mitandaoni na hakapo kabisa field.
Kiufupi,
this is the end of gwajima kawe politics. Na hakuna mbeleko ya kumbeba safari hii🐒
gwajima ni TAPELI, we humjuiGwajima anafaa kuwa Rais na siyo mwakilishi wa watu wachache kama Kawe!
Hujaona jinsi Watanzania walivyomkubali?
Duu!Tatizo askofu kaongea kama "president material"kabisa!!
Hali inatisha sana mjue!!
Kama tapeli anajua kukosha nyosho za Watanganyika kiasi hicho, basi tulichelewa sana kupata matapeli! Tunahitaji matapeli wengine kama kumi wa aina hiyo kwa maslahi mapana ya nchi ya Tanganyika!!!gwajima ni TAPELI, we humjui
mshawishi agombee kiti cha uraisi, mtumishi wa Mungu wenu hawezi kukosaKama tapeli anajua kukosha nyosho za Watanganyika kiasi hicho, basi tulichelewa sana kupata matapeli! Tunahitaji matapeli wengine kama kumi wa aina hiyo kwa maslahi mapana ya nchi ya Tanganyika!!!
Utampa kura yako?mshawishi agombee kiti cha uraisi, mtumishi wa Mungu wenu hawezi kukosa
hao wanafiki ni wapapi gentleman? 🐒Ulimbishia mzee Butiku!
Ukambishia na Jaji Warioba!
Hata Gwajima hujamwelewa?
Unahitaji msaada mkubwa kuliko unavyofikiri!!!