Watamjibu na Askofu Gwajima?

Watamjibu na Askofu Gwajima?

B
DAKIKA 90's zitaamua na for sure 😃 😊 hakuna alie wai ku battle na ASKOFU GWAJIMA na akatoka salama reference zipo nyingi.

Ni Jambo la muda...Time is the best teacher.

#YANGUMACHO
Bashite na Mond watakuwa mashahidi wazuri sana 😂 wa hii kauli yako. "Almasi(Mond )itageuka kuwa maji taka"& "nimekufuta kwenye ulimwengu wa siasa na uongozi(Bashite)" mwisho wa kunukuu
 
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!

Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la kuwatoa watu kwenye reli. Wameshafanya hivyo mara kadhaa kwa wazee wa Taifa: Jaji Joseph Sinde Waorioba na Mzee Butiku Nyerere!

Sasa safari hii kimeongea chuma kisichohofia mashambulizi. Ukilianzisha yeye analimaliza!

"Machawa" wanamfahamu Dr. Josephath Gwajima? Watathubutu kumchokonoa kwa kumjibu au watakubali yaishe?
Tayari wameanza kuropoka
 
Nivema tungepata jawabu na sio jibu...
Jawabu zuri litatoka iwapo abuduli naye atakutwa ununio uchi na bilamacho alivyosema Gwajma!!!
 
Huenda huyu ndo mtekaji, watu kama hawa ndo wanadhihirisha kuwa elimu yetu ni mbovu, duh kama taifa tuna safari ndefu kama majitu ndo haya 🙄🙄🙄
sure,
gwajima huenda ndie akawa mdadhili mkuu wa hizo drama za kilofa sana za utekaji gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom