Watambue Waimbaji wa Chit Chat

mi ntakuja kuimba sauti za mbinguni ninazoimbaga na wazee wanne watupao taji zao
 

aiseee.......... Haki ya nani lazima hili shindano nishinde my cousin.
 
Last edited by a moderator:
kama uko dar utakuwepo bestito, nitafurahi sana ukiweppo kwani shindano hili bila nyie ndo hivyo tena litaendaana na get together party hivyo jiandaeni kisawasawa si mnajua get together zilivyo eeee, mm sitakuwa jaji majaji ndo wataamua na kumpata mshindi
aiseee.......... Haki ya nani lazima hili shindano nishinde my cousin.
 
usipite wakaribishwa na tunataka uandike wimbo wako hapa ili majaji wafanye mchujo na wa wimbo bora maudhui ya wimbo huo uwe kichitchat zaidi pls usikose kama uko dar na kama uko mkoani tutafanya ziara ya shindano hili uko mikoani pia utakuwepo?
Nimepita....
 
andaeni wimbo ufanyiwe kazi hapa na mchujo utokee hapa kwani kuakuwa na wimbo bora, mtunzi bora na mwimbaji atakayetawala jukwaa vyema bora andika wimbo wa kichitchat hapa
hahahaaa......ngoja nimletee na misumari ili akugongelee vizuri
 

sitokuwa Dar mpendwa, kwani hilo shindano linaishia Dar tu? Siwasogee hata Arusha jamani mi ninyakue hayo matuzo
 
andaeni wimbo ufanyiwe kazi hapa na mchujo utokee hapa kwani kuakuwa na wimbo bora, mtunzi bora na mwimbaji atakayetawala jukwaa vyema bora andika wimbo wa kichitchat hapa

mi nataka nitungiwe nyimbo then nitaimba mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…