Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Acheni kuleta mambo ya kidini hapa ama kushindana kuwa mtalii ni nani,
hii ni ishu ya Taifa na haijalishi anayesemwa ni mzungu ama mwalabu
kama mtu yeyote anajaribu kuleta mambo yasiyokubalika lazima apingwe kwa nguvu moja na sio kuanza kutetea upumbavu unaoteketekeza nchi eti kwa sababu ni watu wa Imani sawa na wewe. Nchi yako inabidi iwe ya kwanza
Hawa hawa (namaanisha wazungu na waraabu) ndio waliotesa babu zetu miaka hiyo ya nyuma na bado kuna watu walikuwa wakiona ni sawa tu kutokana na kuwa wao ndio walikuwa wanawasaidia hawa watu katika kukamilisha mambo yao.
Na hii ndio naona inajitokeza tena hapa, ni ukweli ulio wazi kuwa hawa jamaa wameshajikatia kasehemu ka Tanzania huko porini na wamejimilikisha na wanazidi kujupanua kila siku zinavyozidi kwenda.
Tusiburi mpaka wajukuu na vitukuu vyetu kuja kuanza kusoma kwenye historia tena ujinga huu unaendelea kufanyika sasa kama sisi tulivyosoma kuhusu mambo ya utumwa.
Ni suala letu sote tukemee na kuchukua hatua kuhusu hili na sio kuanza kuanza kuleta habari za kusadikika..eti kama wangekuwa wazungu? sijui kama angekuwa Obama? acheni hizo waarabu wapo tayari porini jadili namna ya kufanya
hii ni ishu ya Taifa na haijalishi anayesemwa ni mzungu ama mwalabu
kama mtu yeyote anajaribu kuleta mambo yasiyokubalika lazima apingwe kwa nguvu moja na sio kuanza kutetea upumbavu unaoteketekeza nchi eti kwa sababu ni watu wa Imani sawa na wewe. Nchi yako inabidi iwe ya kwanza
Hawa hawa (namaanisha wazungu na waraabu) ndio waliotesa babu zetu miaka hiyo ya nyuma na bado kuna watu walikuwa wakiona ni sawa tu kutokana na kuwa wao ndio walikuwa wanawasaidia hawa watu katika kukamilisha mambo yao.
Na hii ndio naona inajitokeza tena hapa, ni ukweli ulio wazi kuwa hawa jamaa wameshajikatia kasehemu ka Tanzania huko porini na wamejimilikisha na wanazidi kujupanua kila siku zinavyozidi kwenda.
Tusiburi mpaka wajukuu na vitukuu vyetu kuja kuanza kusoma kwenye historia tena ujinga huu unaendelea kufanyika sasa kama sisi tulivyosoma kuhusu mambo ya utumwa.
Ni suala letu sote tukemee na kuchukua hatua kuhusu hili na sio kuanza kuanza kuleta habari za kusadikika..eti kama wangekuwa wazungu? sijui kama angekuwa Obama? acheni hizo waarabu wapo tayari porini jadili namna ya kufanya