Watalaam wa Kilimo

mwalwisi

Member
Oct 6, 2010
45
22
Habari ya asubuhi wakuu,

Jamani naomba kuuliza; hivi watalaam wa kilimo (Farm Manager/Bwana au Bibi shamba) wanalipwa mshahara kiasi gani? Mwenye diploma au certificate, ninauliza kwa kuwa nipo kwenye kilimo na kadri siku zinavyoongezeka natamani kulima kisasa zaidi hivyo ninahitaji kuajiri full time employee ila sijui scale zao za mshahara.

Naomba majibu wakuu
 
Mkuu humu sidhani kama kunajibu hilo lakini mimi naona bora utumie jiwe moja ndege wawili tafuta bibi shamba umuoe utapata mke na utatumia utalam wake ahahahaha... natania mkuu hapa sidhani kama utapata jibu rahisi mimi nilisha uliza hilo swali mpaka leo sijapata jibu. ispokuwa kama utaenda fb huko unaweza pata mimi nilipata wawili nikawatumia kwa uhsuri tu ila hawakuwa tayari kuhamia sehem nilipokuwa nashamba, wewe suhugulizako zipo wapi
 
Kiongozi kwamajibu niliyopewa mwenye diploma mshahara ni 390.000 na mwenye certificate ni 250.000

Habari ya asubuhi wakuu,

Jamani naomba kuuliza; hivi watalaam wa kilimo (Farm Manager/Bwana au Bibi shamba) wanalipwa mshahara kiasi gani? Mwenye diploma au certificate, ninauliza kwa kuwa nipo kwenye kilimo na kadri siku zinavyoongezeka natamani kulima kisasa zaidi hivyo ninahitaji kuajiri full time employee ila sijui scale zao za mshahara.

Naomba majibu wakuu
 
Mkuu humu sidhani kama kunajibu hilo lakini mimi naona bora utumie jiwe moja ndege wawili tafuta bibi shamba umuoe utapata mke na utatumia utalam wake ahahahaha... natania mkuu hapa sidhani kama utapata jibu rahisi mimi nilisha uliza hilo swali mpaka leo sijapata jibu. ispokuwa kama utaenda fb huko unaweza pata mimi nilipata wawili nikawatumia kwa uhsuri tu ila hawakuwa tayari kuhamia sehem nilipokuwa nashamba, wewe suhugulizako zipo wapi
Mkuu acha kuidhalilisha JF, yaani unailinganisha na fb? Huko si ni watu wanaotafuta wapenzi tu?!! Ahahahahahaaaaaaaa!! JF ndo kila kitu bwana. Mkuu tuombe radhi wadau wa JF!!!!

Kwa taarifa yako Maafisa Ugani tunalipwa 390,000 gross salary (kwa Dip. holder) na Cert. gross haipungui 230,000. Ila kumwajiri moja kwa moja kwa huyo ndugu itakuwa ngumu sana maana jamaa utambania kiasi kwamba hatafanya mambo yake mengine ambayo huku Serikalini fursa hiyo ni kubwa mno ndo maana tunavumilia na hicho kiji-mshahara chao. Sasa sijui jamaa wakimwomba 1.45m kwa full time atakubali? Nasema hivyo kwa sababu utamtumia to the maximum, wakati angekuwa Halmashauri angeweza kupiga kazi yao huku anafanya kazi zake nyingi.

Kati ya post zenye fursa nzuri ya kufanya shughuli zingine hapa TZ ni hiyo asikwambie mtu!! Ndo maana jamaa huwezi kuwasikia wakizungumzia habari ya kugoma!!! Hivyo namshauri huo ndugu ajaribu kutafuta wa part time kule kle aliko na wala asiwaze kuajiri, vinginevyo lazima ajipange sawasawa ki-malipo!!!
 
Mkuu humu sidhani kama kunajibu hilo lakini mimi naona bora utumie jiwe moja ndege wawili tafuta bibi shamba umuoe utapata mke na utatumia utalam wake ahahahaha... natania mkuu hapa sidhani kama utapata jibu rahisi mimi nilisha uliza hilo swali mpaka leo sijapata jibu. ispokuwa kama utaenda fb huko unaweza pata mimi nilipata wawili nikawatumia kwa uhsuri tu ila hawakuwa tayari kuhamia sehem nilipokuwa nashamba, wewe suhugulizako zipo wapi

Hiyo ya bibi Shamba imekaa vizuri ila yataka moyo. Shughuli zipo Mkuranga ndugu yangu
 
Nami nakubali tafuta aliekaribu mpatane kwa part time mtakwenda sawa! Mlipe mshahara sawa na ule anaopewa kazini utashangaa nguvu yote ataelekeza kwako! Pia akiwa kwako part time mtumie akufundishie vijana wako skills muhimu ili baadae uwatumie hao vijana wako. Huko mbeleni uwe unawakodi watalamu hao kwa kuwalipa kwa shughuri maalum tu au ushari then unasonga mbele na vijana wako!
 
Mkuu nawataka radhi niliowakwaza , na hata sikumoja siwezi subutu ifananish JF na fb nimemfahamisha tu nilipo kuwa na tafuta msimamizi sikupata kabisaaa hapa ila kule FB kwakuwa mtu anaweka information kwenye profile yake ni rahisi unawasiliana nae. na ndo ilinisaidia nikapata. ila wewe umenifumbua masho nimejua sababu gani mnakauka
Ubarikiwe sana mkuu

na
Mkuu acha kuidhalilisha JF, yaani unailinganisha na fb? Huko si ni watu wanaotafuta wapenzi tu?!! Ahahahahahaaaaaaaa!! JF ndo kila kitu bwana. Mkuu tuombe radhi wadau wa JF!!!!

Kwa taarifa yako Maafisa Ugani tunalipwa 390,000 gross salary (kwa Dip. holder) na Cert. gross haipungui 230,000. Ila kumwajiri moja kwa moja kwa huyo ndugu itakuwa ngumu sana maana jamaa utambania kiasi kwamba hatafanya mambo yake mengine ambayo huku Serikalini fursa hiyo ni kubwa mno ndo maana tunavumilia na hicho kiji-mshahara chao. Sasa sijui jamaa wakimwomba 1.45m kwa full time atakubali? Nasema hivyo kwa sababu utamtumia to the maximum, wakati angekuwa Halmashauri angeweza kupiga kazi yao huku anafanya kazi zake nyingi.

Kati ya post zenye fursa nzuri ya kufanya shughuli zingine hapa TZ ni hiyo asikwambie mtu!! Ndo maana jamaa huwezi kuwasikia wakizungumzia habari ya kugoma!!! Hivyo namshauri huo ndugu ajaribu kutafuta wa part time kule kle aliko na wala asiwaze kuajiri, vinginevyo lazima ajipange sawasawa ki-malipo!!!
 
Mkuu nawataka radhi niliowakwaza , na hata sikumoja siwezi subutu ifananish JF na fb nimemfahamisha tu nilipo kuwa na tafuta msimamizi sikupata kabisaaa hapa ila kule FB kwakuwa mtu anaweka information kwenye profile yake ni rahisi unawasiliana nae. na ndo ilinisaidia nikapata. ila wewe umenifumbua masho nimejua sababu gani mnakauka
Ubarikiwe sana mkuu na
Mkuu hapo kwenye red, sema pole pole wasije wakasikia!!!
 
kwa shida yk0 cjui ila kama utahtaj miche ya muda mfupi(3yrs)ya miembe,parachch,chungwa,ndimu,lima0 na nk 2wacliane.
 
Hizo rate ni za serikali au? Naamini kwenye sector binafsi hutampata huyo mtu maana hata mimi ni mtaalamu wa kilimo na niko kwenye sector binafsi. Mkuu, fikiria kuanzia laki 500,000 kama kweli unataka kufanya kazi yako vizuri. Otherwise, employ somebody competent on part time na kazi itaenda vizuri sana. I asure you. Uko sehemu gani?
 
Back
Top Bottom