Habari ya asubuhi wakuu,
Jamani naomba kuuliza; hivi watalaam wa kilimo (Farm Manager/Bwana au Bibi shamba) wanalipwa mshahara kiasi gani? Mwenye diploma au certificate, ninauliza kwa kuwa nipo kwenye kilimo na kadri siku zinavyoongezeka natamani kulima kisasa zaidi hivyo ninahitaji kuajiri full time employee ila sijui scale zao za mshahara.
Naomba majibu wakuu
Jamani naomba kuuliza; hivi watalaam wa kilimo (Farm Manager/Bwana au Bibi shamba) wanalipwa mshahara kiasi gani? Mwenye diploma au certificate, ninauliza kwa kuwa nipo kwenye kilimo na kadri siku zinavyoongezeka natamani kulima kisasa zaidi hivyo ninahitaji kuajiri full time employee ila sijui scale zao za mshahara.
Naomba majibu wakuu