Mtaalamu wa kilimo na mifugo niko hapa nikiwa na uhitaji wa kazi. Ninaomba ushirikiano wenu

Street verified

New Member
Apr 8, 2023
2
54
Naitwa M ni mwajiriwa wa kampuni X inayojihusisha na maswala ya kilimo niko hapa natafuta kaz mahali pengine

Mahal nilipo kwa sasa changamoto zmekuwa nying sana kwa uongoz wa kampuni nmejitahid ila ninaona napoteza muda wangu:

Baadhi ya changamoto:

1. Baadhi ya viongoz kuingilia kaz mfano kukupangia ratiba za shamba km vile upigaji wa dawa, kuweka mbolea n.k wakati hapo awali vitu hv vilikuwa vinafanywa na bwanashamba.

2. Uchelewashaji wa mshahara kwa mfano mshahara wa mwez wa 3 had leo sijapata.

3. Kupunguza mshahara pasipo sababu za msingi.

Nmefanya kaz kampuni hii zaid ya miez 18 hapo mwanzo mambo yalikuwa mazur ila kwa sasa ninaona mambo yanakuwa magumu nahitaji changamoto mahali kwingne.

Elimu yangu ni Diploma ya agriculture production,ninahitaji kufanya kaz mahal ambapo nitapewa uhuru wa kufanya kaz zangu za ubwana shamba au mifugo pasipo kuingiliwa(nakubali kushauriwa)
 
Kama unataka ajira au mfadhili au partner bora usingeweka yote hayo bali kuweka taaluma na kusema unatafuta kazi

Ila unajiwekea red flag kibao bila sababu
Napenda watu wanaojituma na hizo changamoto ulizozipata zaidi ya mshahara mbona kawaida sana

Tafuta ubia na mtu na wewe uwekeze akili na baadhi ya vitu Kama shamba
 
Naitwa M ni mwajiriwa wa kampuni X inayojihusisha na maswala ya kilimo niko hapa natafuta kaz mahali pengine

Mahal nilipo kwa sasa changamoto zmekuwa nying sana kwa uongoz wa kampuni nmejitahid ila ninaona napoteza muda wangu;-


Baadhi ya changamoto:-

1. Baadhi ya viongoz kuingilia kaz mfano kukupangia ratiba za shamba km vile upigaji wa dawa, kuweka mbolea n.k wakati hapo awali vitu hv vilikuwa vinafanywa na bwanashamba

2. Uchelewashaji wa mshahara kwa mfano mshahara wa mwez wa 3 had leo sijapata

3. Kupunguza mshahara pasipo sababu za msingi

Nmefanya kaz kampuni hii zaid ya miez 18 hapo mwanzo mambo yalikuwa mazur ila kwa sasa ninaona mambo yanakuwa magumu nahitaji changamoto mahali kwingne

Elimu yangu ni Diploma ya agriculture production,ninahitaji kufanya kaz mahal ambapo nitapewa uhuru wa kufanya kaz zangu za ubwana shamba au mifugo pasipo kuingiliwa(nakubali kushauriwa)
Lile tangazo la maafisa kilimo ukuliona jamani, walitoa nafasi nyingi tu.
 
So sad, una diploma tu na bado hata kupiga dawa shambani hutaki, heri hiyo changamoto ya mshahara. halafu sio rahisi kufanya hizo biashara.Sasa kama aliamua kumpunguza bwana shamba ili aweze kumudu gharama za kukulipa wewe utajuaje?
Andika barua kaa na bosi wako mueleze, na wewe ulifanya vipi kazi bila kuwa na matrix of responsibilities?
kama boss wako mlikubaliana chochote akikutuma unafanya hupaswi kulalamika.
 
Back
Top Bottom