Teeeh...teeeeh.Unanikumbusha issue ya Shashu Lugeye.Huyo dogo hana uchawi wowote ni hisia tu, kinacho watafuna Shinyanga ni UKABILA tena katika vyama vyote. Hamtokaa mkapata Mbunge bora kama aka katabia hakatakwisha( bha bhabha na bha mayo). For Kanumba as CDM expected Candidate in Shinyanga Municipal sidhani kuwa his death connected to politics tuwe na imani kuwa kafa kifo kama kinavyoelezewa na ndugu zake. Marehemu huyu hakuwahi kupiga kampeni wala kujinasabaisha wazi kama MwanaCDM anayewania jimbo la Shinyanga. The so called Masele nadhani kama alikuwa anataka kudhibiti wapinzani wake was too early to get Kanumba killed in a superstition way.
Vijana mjipange mwende and no body will get killed with a natural power as somebody stipulated here.