Watakaokosa first round msisahau kuomba Ualimu

Watakaokosa first round msisahau kuomba Ualimu

na sasa hivi hata bachelor of art with education wanconsider mathematics so kama ulikimbia mathe o level kazi unayo maana watu wa arts weng huwa hawaipenda hesabu aisee huu mwaka huuu we acha tu
 
na sasa hivi hata bachelor of art with education wanconsider mathematics so kama ulikimbia mathe o level kazi unayo maana watu wa arts weng huwa hawaipenda hesabu aisee huu mwaka huuu we acha tu
Acha uongo ww sio vyuo vyote wana consider hyo mathematics. Na nina was was ata ukupitia guidebook bal umesimuliwa tu.
Usiwatishe vijana wa art maana najua walioweng kwenye mathematics weupe [emoji3][emoji3]
 
Acha uongo ww sio vyuo vyote wana consider hyo mathematics. Na nina was was ata ukupitia guidebook bal umesimuliwa tu.
Usiwatishe vijana wa art maana najua walioweng kwenye mathematics weupe [emoji3][emoji3]
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wewe ndo umetumaliza kabisa mkuu
 
Ualimu sio kazi wanawadanganya, mtu ukamalize degree ulipwe 716,850/= haina maana kabisa bora mkae nyumbani msubirie uhasibu ama udaktari, Ualimu ni kazi za kishenzi sana hakuna maslahi kabisa wala hadhi!

hahahaha, hvi huo mshahara Wa aliyesoma uhasibu unaufahamu au huwa unausikia kwenye hadithi za vijiweni?
 
Upotoshaji ni upi hapo? Hebu elezea?

wenye hizo kazi unazozisemea zina hela hawawezi kusema maana wao siri wanaijua. kama unataka kuwa na pesa ndugu yangu waza kujiajiri lakini kama ni kutegemea mshahara, mishahara kwa Kada zilizo nyingi karibu inalingana na tofauti yake ni kidogo sana
 
wenye hizo kazi unazozisemea zina hela hawawezi kusema maana wao siri wanaijua. kama unataka kuwa na pesa ndugu yangu waza kujiajiri lakini kama ni kutegemea mshahara, mishahara kwa Kada zilizo nyingi karibu inalingana na tofauti yake ni kidogo sana
Mie nilianza maisha siku nyingi sana na kaumri kalikimbia pia, lkn sina siku nasikia hawa wasomi wamezungumzia ualimu kama kazi ya maana ama ya msingi, ndio maana nimewasaidia nakuwaambia ualimu ni ushenzi, maana wanaona kama laana wao kuwa walimu, lkn mie sina tatizo na maisha, am doing just fine.
 
Mie nilianza maisha siku nyingi sana na kaumri kalikimbia pia, lkn sina siku nasikia hawa wasomi wamezungumzia ualimu kama kazi ya maana ama ya msingi, ndio maana nimewasaidia nakuwaambia ualimu ni ushenzi, maana wanaona kama laana wao kuwa walimu, lkn mie sina tatizo na maisha, am doing just fine.
Siku Moja jaribu kukaa na mfanyakazi Wa benki mwenye elimu ya shahada kisha ukae na mwalimu mwenye shahada, waulize kila mmoja mshahara wake harafu linganisha uone utofauti uliopo. Wanaweza wasikuambie ila unaweza kufanya kauchunguzi kako mwenyewe katakusaidia kupata ukweli kuliko Haya maneno ambayo yameshajengeka mtaani
 
Siku Moja jaribu kukaa na mfanyakazi Wa benki mwenye elimu ya shahada kisha ukae na mwalimu mwenye shahada, waulize kila mmoja mshahara wake harafu linganisha uone utofauti uliopo. Wanaweza wasikuambie ila unaweza kufanya kauchunguzi kako mwenyewe katakusaidia kupata ukweli kuliko Haya maneno ambayo yameshajengeka mtaani
Najua maisha, najua ukweli, lkn sioni sababu ya kuelimisha mtu ambaye hana muda wa kuelimika, mtoto kwakuwa anaenda chuo anasema atakayekosa aende ualimu, nini maana ya hiyo sentensi? Maana yake walimu hawasomi wanapelekwa tu, pia ni kama kuwa mfanyakazi wa ndani ambaye hata salary mashaka, kama hawa ndio wasomi unafikiri taifa letu litaendelea? Am fed up with the mentality of the people of my own country, our way of thinking is so poor and very shallow! Kwahiyo ninazidi kuwashauri waachane na ualimu, hauna vigezo kwa maisha yao bora.
 
Najua maisha, najua ukweli, lkn sioni sababu ya kuelimisha mtu ambaye hana muda wa kuelimika, mtoto kwakuwa anaenda chuo anasema atakayekosa aende ualimu, nini maana ya hiyo sentensi? Maana yake walimu hawasomi wanapelekwa tu, pia ni kama kuwa mfanyakazi wa ndani ambaye hata salary mashaka, kama hawa ndio wasomi unafikiri taifa letu litaendelea? Am fed up with the mentality of the people of my own country, our way of thinking is so poor and very shallow! Kwahiyo ninazidi kuwashauri waachane na ualimu, hauna vigezo kwa maisha yao bora.
Maneno yako yananichoma sana lakini sina namna ngoja niendelee kusahihisha mitihani ya midterm mkuu
 
mkuu Amon Mtekateka hiyo sio uongo kwenye hiyo programe niliotaja nimeiona wakati napitia guidebook kasome tu udsm duce wotewanataka hyo kitu
Kumbe udsm na duce sasa kwan kila mwanachuo lazma akasome apo.
Ungepita yote mkuu, kuna watu wameapply chuo cha archbishop apa ata iyo mathematics sio muhmu ili upate shahada ya bachelor's of art with education
 
Back
Top Bottom