sir doctor
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 291
- 66
Muda wowote TCU watatoa majina waliopata chuo first round mtakao kosa plz msisahau ualimu a.k.a EDUCATION
Yes coz VIJANA wengi hasa Wa sayansi watakosaaaaaaaaDuuuuuuuuuuuuh
Vipi ukikuta a.k.a EDUCATION kumejaa..!!!?Muda wowote TCU watatoa majina waliopata chuo first round mtakao kosa plz msisahau ualimu a.k.a EDUCATION
Not easyVipi ukikuta a.k.a EDUCATION kumejaa..!!!?
Lakini namaanisha katika vyuo PENDWA..!Not easy
Bhadoooooo aiseeeeee kuna nafazi competitionnnn ni ndogoooooLakini namaanisha katika vyuo PENDWA..!
Mfano chuo gani umeona bado kuna nafasi mkuu..!?Bhadoooooo aiseeeeee kuna nafazi competitionnnn ni ndogooooo
Wewe LAZIMA upate..!!!Mamaaaa weee hapa nilipo naogopa sijui nitapata chuo???
Na wew umeomba kumbe. !?Mamaaaa weee hapa nilipo naogopa sijui nitapata chuo???
mkuu kama zipi? ili watu wakajiandae na ujasiliamali?Kizai zai ni kwa Course zenye competition kubwa lazima watemwe weng
Ni pm tafadhari nikuhulizeMamaaaa weee hapa nilipo naogopa sijui nitapata chuo???