Chacha Steven Mokiri
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 2,011
- 2,232
Vp boss we umepata wapi?Muda wowote TCU watatoa majina waliopata chuo first round mtakao kosa plz msisahau ualimu a.k.a EDUCATION
Vp boss we umepata wapi?Muda wowote TCU watatoa majina waliopata chuo first round mtakao kosa plz msisahau ualimu a.k.a EDUCATION
Bado hawajatoa mwenyewe nasubiria kwa spidiVp boss we umepata wapi?
Uliomba kozi gani boss?Bado hawajatoa mwenyewe nasubiria kwa spidi
Pharmacy nursing ya st john health lab ya kcmc veterinary MD ya sua na MD ya ajucoUliomba kozi gani boss?
Apo ata kwa dawa, kwa haya matatzo ya kila cku ya ualim.Muda wowote TCU watatoa majina waliopata chuo first round mtakao kosa plz msisahau ualimu a.k.a EDUCATION
Unaweza ukaomba mwakan wakataka C tatu ukawa ndio unaisikia shahada redionKama tukikosa tutaomba mwakani.........
acha umalayaahNi pm tafadhari nikuhulize
Education nako siku izi wanaomba wengi kinomaaaaaaa hasa kwa vyuo vyenye tittle hapa TZ hivyo napo sio tujifariji kiivyoo labda tukikosa first round tushauriane wakuuusisahau kuwa education pia mwaka huu ndio kimbilio la watu wengi mfano UDSM capaicity 1000 first round 4000 sec 3000 third 3000 UDOM CAPACITY 600 FIRST 2000 SEC 3000 N.K
ulijazaje na kozi gani.Mamaaaa weee hapa nilipo naogopa sijui nitapata chuo???
Kama tukikosa tutaomba mwakani.........
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Unaweza ukaomba mwakan wakataka C tatu ukawa ndio unaisikia shahada redion
kweli mkuu subir tuone kwanza lakin kuna chuo cha st agustino mbeya na arusha nazan havina watu kabisaaa,jordan etcEducation nako siku izi wanaomba wengi kinomaaaaaaa hasa kwa vyuo vyenye tittle hapa TZ hivyo napo sio tujifariji kiivyoo labda tukikosa first round tushauriane wakuu
Vilivyojaaa vinapoteaaa mtandaoniJaman hivi naomba kuulza kama mtu akikosa first priority kwenye zle second prioity wanakuwa wamelimit facult yaan kuna nyngne hauta ruhusiwa kujaza kabsa mfano zile za afya huwa hazjazwagi kabsa kwenye second round?
Apo ata kwa dawa, kwa haya matatzo ya kila cku ya ualim.
Kama mwaka huu tu wanahaha mpaka sasa hakuna ajira.
Alaf unanishaur huko itakuwa yale ya Abunuas