Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Aaaaaah sio lakini mshangazi mazima.. ila tu ndo hvo namuita mshangazi najua ana maindi ila potelea mbali bana...
Kumbe, kwahiyo huyo mshangazi amekukataza kuja huku kwangu kucheka cheka ?
Kwanza mi staki kuitwa dogo ndo mana na mi namuita mshangazi
Labda anakuita hivyo kwa sababu ya mwili mdogo mdogo 😂.
 
Anasema nazingua sana humu sometimes niwe seriously...
Teyana Taylor 90S GIF by The Breaks.gif

.nikijibizana nae anasema nina NIDA yako tapiga picha nitume chitchat
Amekuweza 🤭
Kitulize sasa, la sivyo tutajua siri zako 😂
 
Achana na hayo mawazo, huwezi kuniona mkuu!

Kunyegeka napo ni sehemu ya maisha 😂

Uko sahihi, sina ukali wowote ndugu yangu, mimi ni kabibi flani tu kalikojichokea 🤭
Samia mwenyewe ana ulinzi kila kona lakini anaonwa, sembuse si'raia!

Kumuona mtu ni starehe pia, ndiyo maana kuna watu wanauza sura wakielewa kabisa kuwa, kukutazama mtu hunufaika.

...Kabibi flani... Ninajua umri ni cheo, lakini hicho cheo chako ni kidogo kwangu.
 
Samia mwenyewe na ana ulinzi kila kona lakini anaonwa, sembuse si'raia!
Kumuona mtu ni starehe pia, ndiyo maana kuna watu wanauza sura wakielewa kabisa kuwa, kukutazama mtu hunufaika.
Zip It Amazon Studios GIF by Amazon Prime Video.gif

...Kabibi flani... Ninajua umri ni cheo, lakini hicho cheo chako ni kidogo kwangu.
Endelea kuamini hivyo .... uko floor ya ngapi?
 
Maraaba!
Usiitumue sana hiyo salamu kunisalimia mkuu inanibana na kuninyima baadhi ya stahiki zangu.
samahani kwa kuingilia, naomba kuuliza

hivi hadi watu wakubwa tuseme nyie baba zetu huwa mnapata ile ham ya kudinyana na mkinyimwa mnaumia? au umri ukisonga na hisia huwa zinapotea
 
Back
Top Bottom